'Ujinga' wa Ikulu unarudi kwa kasi

Ujinga ni kuanzisha mada ya jambo usilo na weledi nalo. Hakuna taifa lisilo na mfumo wa Bei elekezi kwa kuwa wafanyabiashara by nature ni Profit maximizer. lengo la serikali ni kulinda na kutetea maslahi ya Raia na ndio sababu utakuta wakati mwingine inatoa ruzuku mpaka kwa taasisi binafsi kama shule na hospital ili kuboresha huduma zao, Hutoa misamaha ya kodi kwa taasisi hizo n.k ndio sababu kwny uchumi unaambiwa hakuna pure capitalist state or pure socialist state kazi ya serikal ni kuingilia ili kulinda maslahi ya Raia wakati wowote. Mbona hulalamiki wakipanga bei elekezi ya Fuel, nauli n.k Ile tabia yenu ya kujipandishia ada kama vile Nchi haina serikal ilifika mwishi siku jk alipokabidhi madaraka nov 5. mnawatoza wazazi na walezi ada halafu ikitokea mnataka kuongez Madarasa mnaitisha michango ya ujenzi kama vile ni shule ya serikal mbona Bakhresa au Mengi akitaka kutanua biashara zao wanaenda benk au ku issue share badala ya kutembeza bakuli kwa wateja? mnataka mruhusiwe mcharge gharama kibiashara lakin hamuendeshi kazi zenu kibiashara kutwa mko wizarani kuomba ruzuku na misamaha ya kodi, wazazi wanalipa kodi lakin kila mpango wa kuendeleza shule lazima mkamue wazazi nje ya ada wanayolipa. Hili jipu lishatumbuliwa kazi iliyobaki ni kusafisha tu kidonda. Jk alipelekewa hiyo sera muda mrefu akawa anawaonea aibu sasa kazi kapewa Kauzu zaidi ya Dagaa mwendo wa sura ya mbuzi hakuna kuchekeana

Una hakika hakuna taifa lisilo na bei elekezi kwenye price ceiling?

Au hizi ni kauli zetu za kawaida za Kitanzania ambazo zimejaa kufikiri kuliko kujua?
 
Subiri hayo maelekezi ndo ujue una hoja ya kuanzisha Uzi au la. Ewura na Sumatra hulalamiki. Hapa umeguswa nini ?

Mkuu nilitaka nijibu kama wewe, asante sana kwa kutembea na mawazo yangu, kifupi jamaa hana hoja ya msingi!!
 
For some of us who actually lived through the early 80s, went through the lines to get flour, sugar and rice from NMC through CCM shops, we do not want to see a slippery slope that will lead us there again.

Cc Nyani Ngabu

Maduka ya ugawaji!

Man, those were some god-awful days.

I recoil in horror every time I think about them.

Some of the decisions of this government thus far have left me wondering if they are actually well-thought-out or if they are just made on the fly.
 
Hii tabia ya serikali kuanza kuirudisha nchi kwenye mfumo wa ujamaa, ambao ulithibitika kwa vitendo kuwa mfumo wa kijinga, usiotekelezeka, unaogandisha mawazo na unaowafanya viongozi kuwa watawala pekee na siyo viongozi kweli; ni upotofu na udikteta wa hali ya juu. Serikali yoyote inayopanga bei ni serikali ya wajinga, wenye mawazo mgando na madikteta!

Hivi karibuni serikali ya ccm na magufuli wametangaza kuzuia shule binafsi kupandisha ada eti wangoje kile ambacho ikulu walikiita "ada elekezi".

Nasema huu ni ujinga kwa sababu kinachopaswa kuihusu serikali katika shule binafsi ni kuhakikisha wanafuata mtaala wa nchi tu. Tofauti na hapo hakuna kingine. Kumbukeni hakuna kodi yoyote ya mtu iliyotumika kujenga ama kugharamia chochote kwenye hizi shule!

Sasa kwa nini waingiliwe?! Hivi serikali haitupi ujumbe kwamba kwenye shule binafsi ndiko kuliko na elimu bora na kwa hiyo haki ya kupata elimu bora maana yake ni haki ya kusoma kwa bei ndogo kwenye shule binasi?!

Boresheni shule za walipa kodi. Porojo hatutaki!

Hili nalo ni jipu.......!!!!
kama vipi funga shule hayo majengo fungua biashara ya vyoo.
 
Jombaaa!!!!! umepatikana!!! uwe unaangalia mada za kuleta!!! elimu sio biashara sera yetu ya elimu inafafanua vizuri,alichofanya mh.Rais ni kuwarudisha kwenye mstari!!! usiitukane taasisi ambayo inaheshimika sasa kwa uwezo wako mdogo wa kupambanua mambo!!!
 
Hii tabia ya serikali kuanza kuirudisha nchi kwenye mfumo wa ujamaa, ambao ulithibitika kwa vitendo kuwa mfumo wa kijinga, usiotekelezeka, unaogandisha mawazo na unaowafanya viongozi kuwa watawala pekee na siyo viongozi kweli; ni upotofu na udikteta wa hali ya juu. Serikali yoyote inayopanga bei ni serikali ya wajinga, wenye mawazo mgando na madikteta!

Hivi karibuni serikali ya ccm na magufuli wametangaza kuzuia shule binafsi kupandisha ada eti wangoje kile ambacho ikulu walikiita "ada elekezi".

Nasema huu ni ujinga kwa sababu kinachopaswa kuihusu serikali katika shule binafsi ni kuhakikisha wanafuata mtaala wa nchi tu. Tofauti na hapo hakuna kingine. Kumbukeni hakuna kodi yoyote ya mtu iliyotumika kujenga ama kugharamia chochote kwenye hizi shule!

Sasa kwa nini waingiliwe?! Hivi serikali haitupi ujumbe kwamba kwenye shule binafsi ndiko kuliko na elimu bora na kwa hiyo haki ya kupata elimu bora maana yake ni haki ya kusoma kwa bei ndogo kwenye shule binasi?!

Boresheni shule za walipa kodi. Porojo hatutaki!
Tehe tehee teheeeeeee! Kama una hasira sana, pasuka tu Mkuu! Lazima Serikali iwalinde Wananchi wake. Kama hutaki kufuata Ada Elekezi ya Serikali, funga shule na geuza madarasa kuwa mabanda ya kuku. Pasuka tu!
 
Hii tabia ya serikali kuanza kuirudisha nchi kwenye mfumo wa ujamaa, ambao ulithibitika kwa vitendo kuwa mfumo wa kijinga, usiotekelezeka, unaogandisha mawazo na unaowafanya viongozi kuwa watawala pekee na siyo viongozi kweli; ni upotofu na udikteta wa hali ya juu. Serikali yoyote inayopanga bei ni serikali ya wajinga, wenye mawazo mgando na madikteta!

Hivi karibuni serikali ya ccm na magufuli wametangaza kuzuia shule binafsi kupandisha ada eti wangoje kile ambacho ikulu walikiita "ada elekezi".

Nasema huu ni ujinga kwa sababu kinachopaswa kuihusu serikali katika shule binafsi ni kuhakikisha wanafuata mtaala wa nchi tu. Tofauti na hapo hakuna kingine. Kumbukeni hakuna kodi yoyote ya mtu iliyotumika kujenga ama kugharamia chochote kwenye hizi shule!

Sasa kwa nini waingiliwe?! Hivi serikali haitupi ujumbe kwamba kwenye shule binafsi ndiko kuliko na elimu bora na kwa hiyo haki ya kupata elimu bora maana yake ni haki ya kusoma kwa bei ndogo kwenye shule binasi?!

Boresheni shule za walipa kodi. Porojo hatutaki!
Ule ni upumbavu na watz na ujinga wao nao meno nje....najuta sana!wewe unataka feza boys karo iwe laki 3!haya toa ruzuku!hauwezi bas shutup
 
tehe tehee teheeeeeee! Kama una hasira sana, pasuka tu mkuu! Lazima serikali iwalinde wananchi wake. Kama hutaki kufuata ada elekezi ya serikali, funga shule na geuza madarasa kuwa mabanda ya kuku. Pasuka tu!

iwalindeje zaidi ya kuboresha shule za umma na kuzifanya ziwe na uwezo wa kushindana na shule binafsi?! Nimeshawajibu vya kutosha na wachangiaji wengine nao wamewambia ama kuwauliza, ila hakuna anayejibu hili swali: "hivi ni kwa nini hamtaki kuwapeleka kwenye shule za serikali ?!! Si rais wenu kaishawambia elimu huko ni ya bure!!!!!!!!!!!! Mnalalamika hovy hovyo tu!!!!
 
Hivi watanzania mnataka nn jamani? Mbebwe migongoni na raisi ndo muone serikali inafanya kazi, mshatunyonya sana na upandishaji wenu wa ada kiholela mmefanya shule kuwa biashara, hizo ada elekezi zitasaidia sana, tulipokuwa tunaelekea ada za nursery tu zingefika 5ml

Mbona zilishafika siku nying sana mama. Kule Shinyanga kulikuwa na Nursery ada 7m, ila naskia haikufika popote kwani watu waliikwepa.
 
You are the one who is confusing issues.

Is there no takeover of price? Or is there a takeover of price, but a rare one?

If there is a rare one, what forbids that rare case to be a precursor of a more general version?

After all, we have seen a trend of ovrereaches from this governmnent. This is not an isolated incident, it is part of a trend.

In a free market economy, or even a mixed economy, the government does not set price ceilings. Prices ceilingsare set by the economic forces of demand and supply.

The government sets the business framework by fiscal and monetary policies, taxation, industry regulation etc. Never a price ceiling.

A price ceiling is just about the laziest and most uninspiring action a government could impose in a free economy/ mixed economy type of setting.

"LAZIEST AND MOST UNINSPIRING ACTION......" NI KWELI MKUU NA NDIYO MAANA NILISEMA "INAGANDISHA MAWAZO" KIONGOZI HASUMBUI KICHWA KUWAVUTIA RAIA WAKE WAPENDE KUWAPELEKA WATOTO WAO SHULE ZA UMMA
 
Ule ni upumbavu na watz na ujinga wao nao meno nje....najuta sana!wewe unataka feza boys karo iwe laki 3!haya toa ruzuku!hauwezi bas shutup

Waboreshe shule za serikali ambazo walimu hata nauli ya likizo hawapewi sio kuingilia shule binafsi ambazo walimu wanalipwa mshahara mpaka 1.2 thn umpangie ada.
 
Subiri hayo maelekezi ndo ujue una hoja ya kuanzisha Uzi au la. Ewura na Sumatra hulalamiki. Hapa umeguswa nini ?



Huyo jamaa kajitukana mwenyewe kwani yeye ndiyo mwenye mawazo ya mgando na ya kijinga. Huyu moja kwa moja ni kilaza na hataki serikali iingilie haki ya wananchi. Ilishabainika kuwa shule za binafsi hazina chochote zaidi ya kujifunza broken english na ku over charge parents.
 
Mjinga ni wewe. Shule binafsi ni sawa na TRA.Mnakula hamshibi. Tena zifutwe tuone kama elimu ya tz haitaimarika. Wezi tu.
 
jamani nampongeza rais sana kwa hili, ni kweli shule binafsi mnatoa elimu nzuri na wazazi tunaipenda , kuna shule moja ipo hapo magomeni nimempeleka mwanangu wa miaka minne anaanza nursery ada Tsh. 2,000,000 kwa mwaka bado usafiri. jamani

sawa tunajua umuhimu wa elimu lakini hizo sijui nani anawapangia ? lazima mpate mwongozo toka serikaline , tulia mkuu isome number taratibu acha jazba.
 
Back
Top Bottom