Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,701
- 9,779
Ipi ni sababu ya msingi inayowapelekea wanawake kuwanyima waume zao tendo la ndoa?
Mmelalamika sana, tena sana, zaidi ya sana. Mimi mwenyewe ni mhanga wa hilo. Kama ningelijua hili kabla ya ndoa, nisingelioa kabisa huyu mdudu
• Wanakuwa wamechoka sana na majukumu ya hapa na pale!?
• Wanahisi uvivu kwa kuwa mambo ni mengi sana!? Sasa kwanini wasiwe wanatususia tukawa tunajipigia tu ilihali wakiwa usingizini?
• Hakuna utamu wanaoufeel kwenye tendo, badala yake huhisi maumivu ndoige wakati wa mchomeko?
Shida ni nini sasa?
Mmelalamika sana, tena sana, zaidi ya sana. Mimi mwenyewe ni mhanga wa hilo. Kama ningelijua hili kabla ya ndoa, nisingelioa kabisa huyu mdudu
• Wanakuwa wamechoka sana na majukumu ya hapa na pale!?
• Wanahisi uvivu kwa kuwa mambo ni mengi sana!? Sasa kwanini wasiwe wanatususia tukawa tunajipigia tu ilihali wakiwa usingizini?
• Hakuna utamu wanaoufeel kwenye tendo, badala yake huhisi maumivu ndoige wakati wa mchomeko?
Shida ni nini sasa?