Amos David Mathiasii
Member
- Sep 4, 2022
- 87
- 148
Kama kawaida yangu Sina mengi sana ya KUSEMA lakini hili swala la ndoa nyingi kuharibika huanzia kwa wanawake.
Kwanza ndoa ni muunganiko wa mwanamke na mwanaume kuishi pamoja KATIKA mapito yao YOTE na ili ndoa idhibitike LAZIMA kiapo kifanyike KANISANI au msikitini kwa islamu .
Inapaswa tutambue KWAMBA tunaposema muunganiko sio wa kusaidiana au kuishi pamoja tu Bali ni muunganiko KATIKA kile kitanda Cha ndoa.
Msingi Mmoja wapo wa ndoa ni TENDO LA NDOA na bila ya TENDO LA NDOA hamna ndoa YOYOTE hapo. Huwezi KUSEMA ndoa yangu imekamilika kama hushiriki TENDO la NDOA mara kwa mara na mkeo au mumeo.
Kwahivyo SISI kama BINADAMU wanawake wameunganishwa na baba zao Wanaume pia wameunganishwa na mama zao .Hii YOTE ni miunganiko kati ya mwanamke na mwanaume LAKINI SI NDOA .Muunganiko wa ndoa LAZIMA uhusishe TENDO la ndoa .Ndiyo maana KANISANI wanaposema wawili wameunganika na kuwa kitu kimoja UMOJA huu ni kwenye TENDO LA NDOA Haswa wanachomaanisha.
CHA AJABU wanawake wamekuwa watu wakuombwa na kuliliwa TENDO la NDOA na waume zao . Utakuta mume wake akimshika HATAKI anasema sijui amechoka kutokana na kazi za siku HIYO hivyo anamwambia mume wake kesho atampa.Ikifika kesho yake atatafuta sababu ya kutofanya TENDO la ndoa. MCHEZO huu utaendelea hivi hata wiki tatu Hadi miezi kama mwanaume hatakuwa makini.
Wanawake mnapaswa kutambua kuwa wanaume tunahitaji TENDO la ndoa kila siku hata kila muda kwa wengine.Ni tofauti na nyinyi AMBAO mnaoweza kuishi bila TENDO Hilo hata kwa miezi kadhaa.
Kitendo HICHI Cha mwanaume kukataliwa TENDO la ndoa kila siku kila wakati kutafuta sababu ndipo hapo mapenzi ya mwanaume yanapungua kwa mwanamke na anatafuta namna ya kukidhi Haja zake . Kutokana na Hilo BAADHI yetu huchukua FURSA ya :
1 Kuwa na nyumba ndogo
2 Kutafuta Malaya wa mtaani
3 Kutoka na ma bar maids
Hapo ndipo mwanamke ataanza KUONA Hela ya matumizi ya nyumbani inapungua , Watoto hawali nyumbani sababu haijulikan,mwanaume anaanza kurudi usiku nyumbani na heshima ya mkewe inapungua ,kama alikuwa halewi unakuta anaanza kulewa.
Hapo mwanamke anaanza kujiuliza tatizo ni nini lakini amesahau anayomfanyia kitandani mumewe.
Na hapo anaanza KUONA upendo umepungua ,anakuwa mkali kwa mumewe,anabaki analia Lia ,analalamika mume wake amebadilika ,anatafuta jinsi ya kumroga kwa limbwata.
Funguka mwanamke wa Karne tambua kuwa mwanaume na tendo la ndoa ni kama Pete na kidole . Ni neno fupi ila inaharibu ndoa nyingi.
Hao hao wanawake wanadai hawaridhishwi ipasavyo kwenye TENDO la ndoa. Sasa utaridhishwaje kama unaitoa mara Moja kwa mwezi.
Vyanzo vingi Vya mwanaume kuwahi kufika na kushindwa kuendelea vimesabibishwa na wanawake wenyewe. Na Wala hata hamna haja ya KUTUMIA madawa ya kuongeza nguvu za KIUME.Dawa ni mwanamke KUMPA Huyo mwanaume haki yake.
Uliolewa naye alafu unamkataa unataka asichepuke??? Watachepuka sana na kama ndoa zitavunjika kama hamtaki kurekebisha makosa MADOGO kama haya.
Hivi hujiulizi kwanini mtu ampende malaya au mchepuko kuliko wewe mke wake chanzo ni HICHO kiungo anachopewa na Malaya au mchepuko kila siku .
Na SHERIA inasema mume na mke wakiungana kupitia tendo la ndoa wanakuwa kitu kimoja .Hivyo anapoungana na Malaya usishangae akianza kumpenda Huyo na kusahau familia yake MAZIMA .
Funguka mwanamke wa Sasa tunza ndoa yako.Wewe ni Mali ya mume wako na mume wako ni Mali yako .
Mpe mwanaume wako tendo la ndoa kila anapohitaji na UTAONA maajabu yake upendo utakavyozidi kwako na MATATIZO yatakavyoanza KUISHA nyumbani kwako .
Sina mengi ni hayo tu nimalize kwa KUSEMA WANAWAKE KUWAKATAA NA KUWANYIMA WANAUME WAO TENDO LA NDOA ndicho chanzo kikubwa Cha ndoa nyingi kufarakanishwa na kuvurugika na malumbano ,chuki na kutoelewana na mambo mengine mengi mabaya.
Kwanza ndoa ni muunganiko wa mwanamke na mwanaume kuishi pamoja KATIKA mapito yao YOTE na ili ndoa idhibitike LAZIMA kiapo kifanyike KANISANI au msikitini kwa islamu .
Inapaswa tutambue KWAMBA tunaposema muunganiko sio wa kusaidiana au kuishi pamoja tu Bali ni muunganiko KATIKA kile kitanda Cha ndoa.
Msingi Mmoja wapo wa ndoa ni TENDO LA NDOA na bila ya TENDO LA NDOA hamna ndoa YOYOTE hapo. Huwezi KUSEMA ndoa yangu imekamilika kama hushiriki TENDO la NDOA mara kwa mara na mkeo au mumeo.
Kwahivyo SISI kama BINADAMU wanawake wameunganishwa na baba zao Wanaume pia wameunganishwa na mama zao .Hii YOTE ni miunganiko kati ya mwanamke na mwanaume LAKINI SI NDOA .Muunganiko wa ndoa LAZIMA uhusishe TENDO la ndoa .Ndiyo maana KANISANI wanaposema wawili wameunganika na kuwa kitu kimoja UMOJA huu ni kwenye TENDO LA NDOA Haswa wanachomaanisha.
CHA AJABU wanawake wamekuwa watu wakuombwa na kuliliwa TENDO la NDOA na waume zao . Utakuta mume wake akimshika HATAKI anasema sijui amechoka kutokana na kazi za siku HIYO hivyo anamwambia mume wake kesho atampa.Ikifika kesho yake atatafuta sababu ya kutofanya TENDO la ndoa. MCHEZO huu utaendelea hivi hata wiki tatu Hadi miezi kama mwanaume hatakuwa makini.
Wanawake mnapaswa kutambua kuwa wanaume tunahitaji TENDO la ndoa kila siku hata kila muda kwa wengine.Ni tofauti na nyinyi AMBAO mnaoweza kuishi bila TENDO Hilo hata kwa miezi kadhaa.
Kitendo HICHI Cha mwanaume kukataliwa TENDO la ndoa kila siku kila wakati kutafuta sababu ndipo hapo mapenzi ya mwanaume yanapungua kwa mwanamke na anatafuta namna ya kukidhi Haja zake . Kutokana na Hilo BAADHI yetu huchukua FURSA ya :
1 Kuwa na nyumba ndogo
2 Kutafuta Malaya wa mtaani
3 Kutoka na ma bar maids
Hapo ndipo mwanamke ataanza KUONA Hela ya matumizi ya nyumbani inapungua , Watoto hawali nyumbani sababu haijulikan,mwanaume anaanza kurudi usiku nyumbani na heshima ya mkewe inapungua ,kama alikuwa halewi unakuta anaanza kulewa.
Hapo mwanamke anaanza kujiuliza tatizo ni nini lakini amesahau anayomfanyia kitandani mumewe.
Na hapo anaanza KUONA upendo umepungua ,anakuwa mkali kwa mumewe,anabaki analia Lia ,analalamika mume wake amebadilika ,anatafuta jinsi ya kumroga kwa limbwata.
Funguka mwanamke wa Karne tambua kuwa mwanaume na tendo la ndoa ni kama Pete na kidole . Ni neno fupi ila inaharibu ndoa nyingi.
Hao hao wanawake wanadai hawaridhishwi ipasavyo kwenye TENDO la ndoa. Sasa utaridhishwaje kama unaitoa mara Moja kwa mwezi.
Vyanzo vingi Vya mwanaume kuwahi kufika na kushindwa kuendelea vimesabibishwa na wanawake wenyewe. Na Wala hata hamna haja ya KUTUMIA madawa ya kuongeza nguvu za KIUME.Dawa ni mwanamke KUMPA Huyo mwanaume haki yake.
Uliolewa naye alafu unamkataa unataka asichepuke??? Watachepuka sana na kama ndoa zitavunjika kama hamtaki kurekebisha makosa MADOGO kama haya.
Hivi hujiulizi kwanini mtu ampende malaya au mchepuko kuliko wewe mke wake chanzo ni HICHO kiungo anachopewa na Malaya au mchepuko kila siku .
Na SHERIA inasema mume na mke wakiungana kupitia tendo la ndoa wanakuwa kitu kimoja .Hivyo anapoungana na Malaya usishangae akianza kumpenda Huyo na kusahau familia yake MAZIMA .
Funguka mwanamke wa Sasa tunza ndoa yako.Wewe ni Mali ya mume wako na mume wako ni Mali yako .
Mpe mwanaume wako tendo la ndoa kila anapohitaji na UTAONA maajabu yake upendo utakavyozidi kwako na MATATIZO yatakavyoanza KUISHA nyumbani kwako .
Sina mengi ni hayo tu nimalize kwa KUSEMA WANAWAKE KUWAKATAA NA KUWANYIMA WANAUME WAO TENDO LA NDOA ndicho chanzo kikubwa Cha ndoa nyingi kufarakanishwa na kuvurugika na malumbano ,chuki na kutoelewana na mambo mengine mengi mabaya.