Basi mamii usisahau ndimu,kisusio,ndafu,kitochi na mbege kula vyoote lakini ndimu usmalize eenh aikambeeeeeeee.Aisee safi sana
We mrembo kumbuka hata ukiona mwanaume wako ameanza kisirani yaani kununa na kufoka foka kumezidi,basi jua kuna mapepo ya kutumwa ili asikupende tena,chukua ndimu kamua halafu maji yake changanya ndimu tatu katika litre ya maji,halafu hakikisha nguo zake zote mpaka underwear unazipiga basi kwa kunyunyizia maji hayo.Aisee safi sana
Hata sindano pia unaichoma katikati ya ndimuumenikumbusha miaka ya nyuma hivi nilikuwa nikitizama filamu za kutisha tu hahaha usiku Lazima ndimu zihusike.
Ila niliongezewa kaujuzi na rafik yangu unaweka ndimu,mkaa na kisu unalala navyo
Ndo inakuwa je?!Hata sindano pia unaichoma katikati ya ndimu
Sasa mshana hivi hawa wachawi ukatili wao wote waogope ndimu??wanauwa watu,wanachezea watu how come waogope ndimu???
Unaweza kuona ni kitu cha kufikirika au cha maskhara lakini mchawi na ndimu ni vitu viwili tofauti kabisaMchawi anapenda sana damu na damu kwenye ndimu inaganda fasta...pengine hiki ndio kisa kikuu
Ukiwa na mauzauza usiku ukiwa unaota ndoto za ajabu hasa kulishwa vitu na kujitafuna mdomo lala tu na kipande cha ndimu na kulamba pia! Jamaa wakija tu kuna hiyo malighafi hawasogei au wataenda kujipanga upya.
Usiidharau ndimu kama kitu kidogo sana kisicho na nguvu yoyote am sure unaweza kumaliza lita ya maziwa au hata kilo ya nyama pekeyako lakini sio robo kilo ya ndimuSasa mshana hivi hawa wachawi ukatili wao wote waogope ndimu??wanauwa watu,wanachezea watu how come waogope ndimu???
Mshana hapa nimejua miti miwili tu, mdimu na mzeitumi, hii mingine siijuiMara nyingi hupandwa mbele au nyuma na pembezoni...miti yenye ambayo ina mzio na wanga ni
Mandrake
Mtura
Mzeituni
Mkafiri
mndimu