The Tomorrow People
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 2,662
- 2,746
Ugwadu original ni jina la Yesu wa Nazareti, Simba wa Yuda mwana wa Daudi, Mfamle wa wafalme, aliyeishinda mauti, ambaye kwake hakuna lisilo wezekana.
Indian hebu nieleze hayo maujanja sababu hata mm nimeambiwa nimuwekee mtoto ucku anaweweseka sana ila how it works sijaambiwaNikiwa mdogo nimelazwa Na ndimu na kisu mpaka nimeanza kujielewa., sisi wahindi hivi vitu huwa hatudharau.
ukitaka kulala ni lazma uikate kipande au hata mzma mzma inafaa?
Unaweza kuona ni kitu cha kufikirika au cha maskhara lakini mchawi na ndimu ni vitu viwili tofauti kabisaMchawi anapenda sana damu na damu kwenye ndimu inaganda fasta...pengine hiki ndio kisa kikuu
Ukiwa na mauzauza usiku ukiwa unaota ndoto za ajabu hasa kulishwa vitu na kujitafuna mdomo lala tu na kipande cha ndimu na kulamba pia! Jamaa wakija tu kuna hiyo malighafi hawasogei au wataenda kujipanga upya.
asante mkuuKata kipande
Unaweza kuona ni kitu cha kufikirika au cha maskhara lakini mchawi na ndimu ni vitu viwili tofauti kabisaMchawi anapenda sana damu na damu kwenye ndimu inaganda fasta...pengine hiki ndio kisa kikuu
Ukiwa na mauzauza usiku ukiwa unaota ndoto za ajabu hasa kulishwa vitu na kujitafuna mdomo lala tu na kipande cha ndimu na kulamba pia! Jamaa wakija tu kuna hiyo malighafi hawasogei au wataenda kujipanga upya.
Asante dr MshanaHuyo mpake kitunguu saumu tumboni kwenye viganja na paji la uso
Indian hebu nieleze hayo maujanja sababu hata mm nimeambiwa nimuwekee mtoto ucku anaweweseka sana ila how it works sijaambiwa
Poa Sunn ShetMkuu kufanya kazi Ni kumzuia mtoto Na hao wanga, au michawi. Muwekee bana inasaidia sana. Wahindi hawa dharau kabisa kila kitu mpaka Leo nafanya.
Ha ha haaaa yani nimecheka duuh jf raha sanaDah nadhani ni limao mkuu.Makabila yanatuchanganya sana kwa kweli.
Kweli mkuu wangu yaani makabila ya "huku kwetu" tunda hilo huitwa "limawe" sasa tunajisahau hadi huku jf tunalitumia tu bila kujua kuwa halitambuliki.Ha ha haaaa yani nimecheka duuh jf raha sana
Duuuuu iseee. Vip na kuchoma sindano, Unachoma kenye limao zima au kipande?Kata kipande