Ugwadu! Kiboko ya mchawi

Nikiwa mdogo nimelazwa Na ndimu na kisu mpaka nimeanza kujielewa., sisi wahindi hivi vitu huwa hatudharau.
Indian hebu nieleze hayo maujanja sababu hata mm nimeambiwa nimuwekee mtoto ucku anaweweseka sana ila how it works sijaambiwa
 
75c854470c3eb4d87e7f7d54f61847f9.jpg

Unaweza kuona ni kitu cha kufikirika au cha maskhara lakini mchawi na ndimu ni vitu viwili tofauti kabisaMchawi anapenda sana damu na damu kwenye ndimu inaganda fasta...pengine hiki ndio kisa kikuu

Ukiwa na mauzauza usiku ukiwa unaota ndoto za ajabu hasa kulishwa vitu na kujitafuna mdomo lala tu na kipande cha ndimu na kulamba pia! Jamaa wakija tu kuna hiyo malighafi hawasogei au wataenda kujipanga upya.
47ae1e689511708025638d5f26237cd9.jpg
ukitaka kulala ni lazma uikate kipande au hata mzma mzma inafaa?
 
75c854470c3eb4d87e7f7d54f61847f9.jpg

Unaweza kuona ni kitu cha kufikirika au cha maskhara lakini mchawi na ndimu ni vitu viwili tofauti kabisaMchawi anapenda sana damu na damu kwenye ndimu inaganda fasta...pengine hiki ndio kisa kikuu

Ukiwa na mauzauza usiku ukiwa unaota ndoto za ajabu hasa kulishwa vitu na kujitafuna mdomo lala tu na kipande cha ndimu na kulamba pia! Jamaa wakija tu kuna hiyo malighafi hawasogei au wataenda kujipanga upya.
47ae1e689511708025638d5f26237cd9.jpg

Mshana vp kuhusu mafuta ya simba
 
Indian hebu nieleze hayo maujanja sababu hata mm nimeambiwa nimuwekee mtoto ucku anaweweseka sana ila how it works sijaambiwa

Mkuu kufanya kazi Ni kumzuia mtoto Na hao wanga, au michawi. Muwekee bana inasaidia sana. Wahindi hawa dharau kabisa kila kitu mpaka Leo nafanya.
 
Duuuuu iseee. Vip na kuchoma sindano, Unachoma kenye limao zima au kipande?
Hakuna tofauti japo mara nyingi ni kipande ili kuleta effects zaidi
Kumbuka ndimu inayojaza mate mdomoni ni ile iliyokatwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom