Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,650
- 16,722
Ulidhan nn mkuuKumbe Ugwadu ni ndimu!!
Ulidhan nn mkuuKumbe Ugwadu ni ndimu!!
Chini ya mto asione
Umechapia lakini naamini ulitaka kusema ULIDHANI
sawaaa simu Kuna Wakati inaandika kipare atii

***Sawa sawa, lakini ni utafiti upi umeufanya mpaka kufikia kuthibitisha dai hilo? je utajuaje wachawi wamekuja ama hawakuja?
Kumbuka lile ni tukio la mchana na yule marehemu RIP alitaka kuingilia mambo ya watuIngekuwa rahisi hivyo basi uchawi ungekwisha. rejea tukio la Kenya juzi kati hapa, alienunua ndimu ktk kisa cha nyuki tayari watu wasubiri40 za hitima waendelee na yao
Hata mimi nilidhani hivyo lakini nimeelewa sasa,Mkuu Mshana amepatia kabisa ,NDIMU sio mchezo sababu sisi kwetu wote tuliwekewa ndimu chini ya mto wakati tumezaliwa mpaka tunakua,na mauzauza sijui ndoto mbaya zoote kwishney marabuku.Nikajua genye ni kajisemea hapa tutalogwa wengi
Hapo kwenye "illegal" ndo raha yake ipo hapo. Nitatumia mmea plus ndimu! Wachawi watanikoma!Tatizo si wote watumiaji halafu kumbuka hii kitu ni illegal
Aisee safi sanaHata mimi nilidhani hivyo lakini nimeelewa sasa,Mkuu Mshana amepatia kabisa ,NDIMU sio mchezo sababu sisi kwetu wote tuliwekewa ndimu chini ya mto wakati tumezaliwa mpaka tunakua,na mauzauza sijui ndoto mbaya zoote kwishney marabuku.