Ugwadu! Kiboko ya mchawi

Ugwadu! Kiboko ya mchawi

Sasa hii ya kuja kivingine si ndio balaa.......... na si ndio unajenga vita nao wakidhani uko vizuri kimapambano kumbe masikini ya mungu ulipata ushauri kwa mshana jr.
Mara nyingi wengi ni wanga na wachawi tu wa kawaida
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Unajua ukikulia na kuzaliwa mjini nitatizo pia kama ukibadilisha mazingira utateswa sana
Suala la Ndimu mie nalijua tangu nazaliwa na ndugu zangu wote waliozaliwa ilikuwa hivyo.

Watoto wachanga wanawekewa ndim kwenye mto,au Mkaa pamoja na kisu au kuoga kwa mvuje.
Ni Ndimu ni suala la kawaida sana,ila kama unashangaa basi jua unatatizo sana la kujua namna ya kudhibiti hawa wanga wasumbufu.


Halafu mshana hembu naimbei kupanda mtu wa Mndimu inasaidi kwenye nyumba au inakuwaje hapo.Na unaupanda upande upi
Na je miti gani Wachawi na wanga hawaipendi na ikiwa kwenye nyumba wao ni sumu
 
Kazi hapa mchawi mshana anatoa maelekezo ya kumtoa mchawi mwenzake kwa ndimu kweli ufalme wa giza umefitinika ndo mana mganga mmoja haelewani na mganga mwingine wakati wote boss wao ni mmoja devil
 
Je akishtukia umeweka chini ya mto hawezi kuitoa kisha akaendelea kukuadabisha?
Hata siku moja! Unajua hawa watu ni waoga mno ndio maana mambo yao hufanya kwa kuvizia kama magaidi, yani akufanyie jambo baya kwa siri au kificho halafu asubuhi akuchore
 
Kazi hapa mchawi mshana anatoa maelekezo ya kumtoa mchawi mwenzake kwa ndimu kweli ufalme wa giza umefitinika ndo mana mganga mmoja haelewani na mganga mwingine wakati wote boss wao ni mmoja devil
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom