gwabata
Member
- Feb 21, 2016
- 32
- 22
NimekusomaHakuna tofauti japo mara nyingi ni kipande ili kuleta effects zaidi
Kumbuka ndimu inayojaza mate mdomoni ni ile iliyokatwa
NimekusomaHakuna tofauti japo mara nyingi ni kipande ili kuleta effects zaidi
Kumbuka ndimu inayojaza mate mdomoni ni ile iliyokatwa
Kumbe Ndimu n noma
Unaweza kuona ni kitu cha kufikirika au cha maskhara lakini mchawi na ndimu ni vitu viwili tofauti kabisaMchawi anapenda sana damu na damu kwenye ndimu inaganda fasta...pengine hiki ndio kisa kikuu
Ukiwa na mauzauza usiku ukiwa unaota ndoto za ajabu hasa kulishwa vitu na kujitafuna mdomo lala tu na kipande cha ndimu na kulamba pia! Jamaa wakija tu kuna hiyo malighafi hawasogei au wataenda kujipanga upya.
Jamaa Mshana Jr.ameanza porojo za kufurahisha genge la Jamiiforum.Sijui aliwaonea wapi hao wachawi wakikimbia ndimu.Duu!! hizi porojo zingine zimevuka mpaka.
Unaweza kuona ni kitu cha kufikirika au cha maskhara lakini mchawi na ndimu ni vitu viwili tofauti kabisaMchawi anapenda sana damu na damu kwenye ndimu inaganda fasta...pengine hiki ndio kisa kikuu
Ukiwa na mauzauza usiku ukiwa unaota ndoto za ajabu hasa kulishwa vitu na kujitafuna mdomo lala tu na kipande cha ndimu na kulamba pia! Jamaa wakija tu kuna hiyo malighafi hawasogei au wataenda kujipanga upya.
Kama anaweza kuingia ndani ukiwa umefunga milango na madirisha. Atashindwaje kuiona ndimu chini ya mto?Chini ya mto asione
Nimeona unanichokonoa kwenye post zangu! Unaona hizi ni porojo achana nazo nimekuwa nikikupuuza lakini pengine ulikuwa hujui! Nimekujibu leo ili ujueJamaa Mshana Jr.ameanza porojo za kufurahisha genge la Jamiiforum.Sijui aliwaonea wapi hao wachawi wakikimbia ndimu.Duu!! hizi porojo zingine zimevuka mpaka.
Sio kila kitu ana uwezo wa kukiona, kuingia ndani ya nyumba kupitia njia za giza ni tofauti na kuona kitu kilicho chini ya mto ...hizo ni formula mbili tofautiKama anaweza kuingia ndani ukiwa umefunga milango na madirisha. Atashindwaje kuiona ndimu chini ya mto?
It's all the same brother!!!Sio kila kitu ana uwezo wa kukiona, kuingia ndani ya nyumba kupitia njia za giza ni tofauti na kuona kitu kilicho chini ya mto ...hizo ni formula mbili tofauti
Ninavyo fikiri ni kuwa, kama anaweza kuingia ndani bila kizuizi basi na kuona kilicho chini ya kichwa cha mlengwa anaweza ona. Au labda kama hiyo ndimu ndio inatumika kama kinga ya kuto kuonekana!Ok may be you know better than me...! So tell me about it
Mchawi anapoingia ndani ya nyumba hupitia kwenye pembe tena kinyume nyume, akishafika ndani husoma mazingira na kuchagua cha kufanyaNinavyo fikiri ni kuwa, kama anaweza kuingia ndani bila kizuizi basi na kuona kilicho chini ya kichwa cha mlengwa anaweza ona. Au labda kama hiyo ndimu ndio inatumika kama kinga ya kuto kuonekana!
Niko tayari kueleweshwa zaidi.
Sidhani kama silaha ni kisu panga na bunduki tuundimu imeshamreplace Mungu, ile ya kulala na mfupa wa nguruwe imeshaexpire??... aisee!!
ila ni vizuri pia kujua ni jinsi gani ya kupigina vita ya kiroho (visivyoonekana) kwa kutumia physical things (vinavyoonekana)
Nimekuelewa. Ahsante...Mchawi anapoingia ndani ya nyumba hupitia kwenye pembe tena kinyume nyume, akishafika ndani husoma mazingira na kuchagua cha kufanya
Ndimu chini ya mto huwa kinga ya kumzuia asikuwangie na kuishia kuzunguka zunguka tu ndani ya chumba na kisha kutokomea
asante kwa ushauri asee, mi nna mpango wa kuotesha mdimu chumbaniSidhani kama silaha ni kisu panga na bunduki tuu
ukilala na kabati la vyombo si ndio kabisa hasogei.imemsaidia sana mtoto wangu kulala raha mustarehe baada ya mauza uza ndimu plus mkaa na kisu pembeni