miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Ha ha haleo nimelala na mfupa wa noah kudadeki
Ha ha haleo nimelala na mfupa wa noah kudadeki
Haya nami nimeshawahi kuyasikia lakini yanaambatana na manuizimashana hivi ni kweli ukijaza maji kwenye kifaa chochote au kwenye kikombe ukaweka mlangoni machawi akija anaona bahari, kingine ni kile kifaa kinachotumika kutwangia(mwichi kama sijakosea) kweli ukiweka mlangoni mchawi hawezi kuruka.
ubaya ubaya tu!Ha ha ha
Nilazima niikate kipande?Chini ya mto asione
Dah nadhani ni limao mkuu.Makabila yanatuchanganya sana kwa kweli.Limau? Limao? Ama limawe?
https://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/75c854470c3eb4d87e7f7d54f61847f9.
Ukiwa na mauzauza usiku ukiwa unaota ndoto za ajabu hasa kulishwa vitu na kujitafuna mdomo lala tu na kipande cha ndimu na kulamba pia! Jamaa wakija tu kuna hiyo malighafi hawasogei au wataenda kujipanga upya.
[IMG]https://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/47ae1e689511708025638d5f26237cd9.jpg
Usimsikilize huyo dogo. We tafuna kipande cha mnyama wa kikatoliki.... walah wanaizaya hawatakusogelea....Kumbe.!
Hahahah kabisa Babu, gheto kwangu naenda kufunga mfupa wa kitimoto mlangoniUsimsikilize huyo dogo. We tafuna kipande cha mnyama wa kikatoliki.... walah wanaizaya hawatakusogelea....
Hawana huo ubavu kivile lakini kuna ndulele mfupa wa noa na kubwa kuliko yote BIBLE kwa wale waamini na waaminio lakiniSasa hapo wakienda kujipanga tena si watakuja na juju kali ya kudhibiti ndimu, unanishauli nilale na nini sasa baada ya ndimu?