Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

hii supplement inatibu bawasiri bila upasuaji kabisa
IMG-20181030-WA0001.jpeg
 
Mrejesho wa ugonjwa wa Bawasili.
Wakati mleta mada wa huu ugonjwa anaandika mada yake, kama nilivyoeleza jirani yangu alikuwa kwenye matibabu ya huu ugonjwa.
Hivyo nikaamua nimtumie yeye kama Sampo ya kuuelezea huu ugonjwa.
Kwakuwa huyu jirani yangu ni rafiki yangu akawa ananieleza kila kitu kuhusu ugonjwa wake.
Jirani yangu aliamka asubuhi moja na kukuta ana maumivu sehemu ya haja kubwa.
Alipochungulia akaona kuna vi uvimbe viwili kama vijipu vilivyo iva hivi.
Ikabidi aende kuwaona madaktari ili apate ushauri zaidi wa kitaalamu.
Aliporudi alinionesha dawa alizo andikiwa.
Kama nilivyoziandika hapo juu, hizo dawa zimeandikwa=

" Amoxicillin & Clavulanate Potassium Tablets USP "

Zipo kwenye box la mstatili na ndani yake vidonge vimewekwa kwenye Blista ngumu mbili,
Dawa hizo alizinunua kwa Tsh 21,000/= akapewa na Panadol za Tsh 1000/ ili kutuliza maumivu.
Dozi
Aliambiwa awe anakunywa kidonge kimoja asubuhi na kimoja jioni.
Kwa muda wa siku saba.
Vidonge vilikuwa 14 kila blista ilikuwa na vidonge saba, hivyo ndani ya box la dawa kulikuwa na Blista mbili.
Habari nzuri sana.
Baada ya kutumia hiyo dozi kwa siku Saba, jirani yangu kapona kabisa kabisa.
Zile vimbe zimenywea kabisa, na maumivu yameisha.
Ni kwamba amepona kabisa.
Jirani yangu alinieleza pia kuwa wakati anaendelea na dozi alikuwa pia anatumia Asali mbichi.
Yaani jioni alikuwa anachukua kitambaa cha bendeji, anakikata ktk kipande kidogo na kukichovya kwenye Asali mbichi halafu anakibandika pale penye vi uvimbe, halafu analala hadi asubuhi, wengi mnajua kuwa Asali inamchanganyiko wa kemikali nyingi sana.

Hitimisho.
Jirani yangu kapona Bawasil kwa siku saba tu, kinachotakiwa ni kuuwahi huo ugonjwa kwa kuanza matibabu mara tu ya kuviona hivyo viuvimbe.
Hii taarifa ni ya kweli kwani nimeshuhudia kila hatua ya matibabu yake na huo ugonjwa alinionesha pia.

Nimeyaleta haya matokeo kama mchango wangu kwa wale watakao sumbuliwa na Bawasil wajaribu hii tiba.
Asanteni wandugu.
 
Mrejesho wa ugonjwa wa Bawasili.
Wakati mleta mada wa huu ugonjwa anaandika mada yake, kama nilivyoeleza jirani yangu alikuwa kwenye matibabu ya huu ugonjwa.
Hivyo nikaamua nimtumie yeye kama Sampo ya kuuelezea huu ugonjwa.
Kwakuwa huyu jirani yangu ni rafiki yangu akawa ananieleza kila kitu kuhusu ugonjwa wake.
Jirani yangu aliamka asubuhi moja na kukuta ana maumivu sehemu ya haja kubwa.
Alipochungulia akaona kuna vi uvimbe viwili kama vijipu vilivyo iva hivi.
Ikabidi aende kuwaona madaktari ili apate ushauri zaidi wa kitaalamu.
Aliporudi alinionesha dawa alizo andikiwa.
Kama nilivyoziandika hapo juu, hizo dawa zimeandikwa=

" Amoxicillin & Clavulanate Potassium Tablets USP "

Zipo kwenye box la mstatili na ndani yake vidonge vimewekwa kwenye Blista ngumu mbili,
Dawa hizo alizinunua kwa Tsh 21,000/= akapewa na Panadol za Tsh 1000/ ili kutuliza maumivu.
Dozi
Aliambiwa awe anakunywa kidonge kimoja asubuhi na kimoja jioni.
Kwa muda wa siku saba.
Vidonge vilikuwa 14 kila blista ilikuwa na vidonge saba, hivyo ndani ya box la dawa kulikuwa na Blista mbili.
Habari nzuri sana.
Baada ya kutumia hiyo dozi kwa siku Saba, jirani yangu kapona kabisa kabisa.
Zile vimbe zimenywea kabisa, na maumivu yameisha.
Ni kwamba amepona kabisa.
Jirani yangu alinieleza pia kuwa wakati anaendelea na dozi alikuwa pia anatumia Asali mbichi.
Yaani jioni alikuwa anachukua kitambaa cha bendeji, anakikata ktk kipande kidogo na kukichovya kwenye Asali mbichi halafu anakibandika pale penye vi uvimbe, halafu analala hadi asubuhi, wengi mnajua kuwa Asali inamchanganyiko wa kemikali nyingi sana.

Hitimisho.
Jirani yangu kapona Bawasil kwa siku saba tu, kinachotakiwa ni kuuwahi huo ugonjwa kwa kuanza matibabu mara tu ya kuviona hivyo viuvimbe.
Hii taarifa ni ya kweli kwani nimeshuhudia kila hatua ya matibabu yake na huo ugonjwa alinionesha pia.

Nimeyaleta haya matokeo kama mchango wangu kwa wale watakao sumbuliwa na Bawasil wajaribu hii tiba.
Asanteni wandugu.
Sharing is caring mkuu, kwa ushauri na ushuhuda huu utakuwa umewasaidia wengi kwasababu huu ni ugonjwa unaosumbua sana kwa sasa.
 
Sharing is caring mkuu, kwa ushauri na ushuhuda huu utakuwa umewasaidia wengi kwasababu huu ni ugonjwa unaosumbua sana kwa sasa.
Sawa Asante kwa kutambua mrejesho wangu.
Kinachotakiwa hapa ni kuwahi matibabu.
Mara unapoona maumivu na kijikagua na kugundua kujitokeza kwa hivyo viuvimbe wahi hospitali siku hiyohiyo.
Ukichelewa vinajenga usugu au vinaendelea kuvimba na kupasuka.
Hapo sasa matibabu yake ni magumu zaidi maana kidonda chake kinakuwa sio cha kawaida kama vingine.
Wahi haraka hospitalini au kama uko mbali nenda famasi ununue hizo dawa na kuanza kuzitumia kama nilivyoeleza hapo juu.
Kwa maisha ya sasa ni muhimu sana kula vyakula vya asili na vilivyotayarishwa vizuri.
 
Ulinipata huo nikiwa kidato cha nne namalizia practical ya mwisho yaan sikua na furaha kabisa ya kumaliza mtihan niliumwa sana yaan nikatumia dawa ikaisha ikaja kunitokea nikiwa form six ugonjwa mbaya sana niliowah kuumwa nikatumia anusol ikaisha hadi leo
 
Whatsup no 0769103506

###BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA
******Tiba bila upasuliwaji/surgery****

~watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba

JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!
~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe

CHANZO CHA TATIZO
~chanzo halisi cha ugonjwa huu hakijapatikana ila Kuna vitu ambavyo huwa chanzo cha kupata ugonjwa wa bawasiri ambayo ni ÷
KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE
KUHARISHA KWA MUDA MREFU
TATIZO LA KUTOPATA CHOO
MATATIZO YA UMRI
KUKAA KITAKO KWA MUDA MREFU
MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU

DALILI ZA BAWASIRI
Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
kutokea uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
kujitokeza kwa kinyama katika eneo la tundu Hilo
kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana

MATIBABU NA JINSI YA KUEPUKA TATIZO LA BAWASIRI
~matibabu ya bawasiri hutegemea na Aina ya bawasiri pia tiba iliyozoeleka ni kukatwa kinyama japo tiba hii haina matokeo mazuri kwasababu huwa haitibu chanzo cha tatizo hivyo huwa rahisi kujirudia

~Pamoja na hayo bawasiri ni ugonjwa unaoweza kuepukika kwa kuzingatia
KULA MBOGAMBOGA ZA MAJANI, MATUNDA, NA NAFAKA ZSZOKOBOLEWA
KUNYWA MAJI MENGI ANGALAU GRASS 6/12 Kwa siku
EPUKA KUKAA CHOONI KWA MUDA MREFU
MADHARA YA TATIZO LA BAWASIRI
kupata upungufu wa damu (anemia)
Kupata tatizo la kutokuweza kuhimil choo
hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake
kuathirika kisaikolojia
kukosa moral ya kufanya Kaz kutokana na maumivu makali

SASA TUNAKULETEA BIDHAA YA ASILI KWA TIBA NA KINGA YA BAWASIRI AMBAZO ZINAONDOA BILA KUFANYIWA UPASUAJI

Hizi bidhaa zitakusaidia sio tu kwenye bawasiri lakini pia KAMA UNA CONSTIPATION(KUTOPATA CHOO/KUPATA CHOO KIGUMU SANA) zitakusaidia kupata choo vizuri,kuondoa mawe kwenye figo,kupunguza uzito,zitaondoa uric acid kwa wale wenye matatizo ya gout,ngozi kuwa nzuri,mmeng'enyo wa chakula kuwa vizuri na mengine mengi sana utayaona wewe mwenyewe

SHARE POST HII tafazali
ILIKUWASAIDIA WENGINEg ,KWANI WAHANGA WA JANGA HILI WAMEKUA WENGI

Whatsup no 0769103506
IMG-20181112-WA0003.jpeg
IMG-20181112-WA0002.jpeg
 
Wakuu poleni na majukumu ya kila siku naomba kupata msaada kwa hili tatizo la uvimbe kwenye njia ya haja kubwa kama nilivyoeleza hapo juu, hili tatizo lilianza mwezi uliopita mwanzoni na ulianza uvimbe tu bila maumivu na ukiushika ni kama ni mshipa nikapata ushauri wa mtaalam flani na akaniambia nitumie dawa inayoitwa annusol pamoja na kufanya sitz bath tatizo limekuwa likipungua na kurudi tena na kwa sasa limekuwa na maumivu makali sana msaada tafadhari wakuu.
 
Ujanja wa hiyo hua ni kwenda hospital wanakufanyia upasuaji wanautoa.ugonjwa huo kitaalamu huitwa Bawasili au Hemorrhoids kwa kingereza.pole
Wakuu poleni na majukumu ya kila siku naomba kupata msaada kwa hili tatizo la uvimbe kwenye njia ya haja kubwa kama nilivyoeleza hapo juu, hili tatizo lilianza mwezi uliopita mwanzoni na ulianza uvimbe tu bila maumivu na ukiushika ni kama ni mshipa nikapata ushauri wa mtaalam flani na akaniambia nitumie dawa inayoitwa annusol pamoja na kufanya sitz bath tatizo limekuwa likipungua na kurudi tena na kwa sasa limekuwa na maumivu makali sana msaada tafadhari wakuu.
 
Anuso suppositories zinaponya hiyo kitu mkuu. sijui umezitumiaje lakini hiyo ndio tiba nijuavyo mimi
 
Pole kwa tatizo linalokusibu,
Naomba nikushauri jambo juu ya hilo. Inabidi ubadili mfumo wako wa maisha kiasi ili kujitibu. Dawa za hospitali hukupa nafuu ila huenda ikarudi kama ratiba zikaendelea vile vile.
1. Kwa sasa pendelea kula vyakula laini pamoja na matunda kwa wingi, ambavyo vitasaidia kulainisha choo ili usiumie ukiwa unajisaidia.
2. Tafuta mafuta ya nazi/nyonyo na upake eneo la kutolea haja kubwa, husaidia kupunguza maumivu.
3. Ukijisaidia tumia majibya uvuguvugu kujisafisha (inapunguza maumivu, sio lazima)
4. Usikae zaidi ya dakika 3 au 5 chooni, jitahidi ukidhi haja na kutoka, kama haitoki usiilazimishe.
5. Hali ikiisha tulia jitahidi kuzingatia kula vyakula mchanganyiko vyenye kukupa choo.
 
Back
Top Bottom