amkawewe
JF-Expert Member
- Dec 9, 2011
- 2,021
- 527
Jamani msaada kwenye tuta....
Nina kuku wa kienyeji kama 20 hivi, tatizo ninalopata kwa sasa ni ugonjwa wa kuku kuvimba macho, na mwishowe anapofuka. Wameshakufa wawili.
Nimepata dawa chanjo ya kuweka kwenye maji na pia dawa ya macho (eye drops) lakini naona haiko effective.
Anayefahamu chanzo na tiba please saidia
Nina kuku wa kienyeji kama 20 hivi, tatizo ninalopata kwa sasa ni ugonjwa wa kuku kuvimba macho, na mwishowe anapofuka. Wameshakufa wawili.
Nimepata dawa chanjo ya kuweka kwenye maji na pia dawa ya macho (eye drops) lakini naona haiko effective.
Anayefahamu chanzo na tiba please saidia