Jidu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 1,232
- 755
Nimesoma maelezo yenu ama kwa hakika yamenivutia nilikuwa na uvivu wa kuanza kufuga sasa mmenipa moyo wa kuanza.ningependa kuwa na mtiririko mzuri wa kuandika ili iwe rahisi kwa msomaji aweze kupata elimu kwa ufasaha!ila nimefaidika sana kwani kuna ucheshi ndani yake na pia elimu kubwa zaidi kwa moyo huu tutafika mbali sasa ni vitendo vinahitajika.naanza na matayarisho ya banda kwanza ahsanteni.