ok sasa hata sisi tulio nje ya nchi tuataka bibi zetu udeliver kuku so publish your number
nimeanza ufugaji wa kuku wa kienyeji,bado sija survey soko la kuku wa kienyeji likoje,
kama kuna mtu mwenye uzoefu na hili anishauri ,pros and cons etc.
bye the way nimeanza na Jogoo mmoja,ila natarajia kuongeza kuku within a week,
projections ni kuwa na kuku 1000,hapo ndio nianze kuuza,matarajio yangu ni kuuza via interent-hapa nalenga watu wa DAR,ambao wako bize,i can do delivery maofisini within city center,na baadae kuweka vituo vya kufanya pickup wakati watu wanarudi home jioni,e.g mwenge junction,morroco petrol station,etc,malipo via M-pesa,sms banking pia na mahoteli.
sitarajii faida ya haraka ,naomba ushauri kwa wale walifanya biashara hii,au wanajua mtu wa karibu aliyeifanya.