Kabisa, wajanja watakuwa wameandika 12 million halafu wakapewa 3 millionKama ni consultant hata hizo 3 wamepigwa
Cha juu kinabaki mwenye dili.Kidogo sana hiyo pesa, wameonewa mno
"Inasemekana" source ya hii habari yako ni ipi? Kama ni kweli bado hiyo pesa ni ndogo kwa nchi kama Marekani ukijumlisha na jambo waliloenda kufanya. Kumbuka hawajaenda kama wewe mnyonge aka Sukuma gang bali wameenda na Rais kuzindua Royal Tour.
Hapo juu ni picha ya kikundi cha ngoma kutoka Bagamoyo walioambatana na Samia huko Marekani.
Duru zinatabanaisha kila mwana kikundi ameidhinishiwa kitita cha milioni 3 kila siku kama matumizi yake awapo huko hiyo ni pamoja na gharama za hotel.
Ikumbukwe gharama zote hizo ni kwa muda wa wiki mbili.
NB: Karibu Tanzania nchi ambayo bodaboda ukimtazama tu anawasha pikipiki !
3million kila siku ni ndogo?!!!Kidogo sana hiyo pesa, wameonewa mno
Tz bhana, eti mpaka leo hatujui ndege tulizinunua kwa kiasi gani. Jiwe kuepuka siri kuvuja shirika akalihamishi chini yake kukwepa uchunguzi kama aliyofanya kwa kivuko kibovu kukiweka chini ya Jeshi kukwepa watu kikuongelea.Kabisa, wajanja watakuwa wameandika 12 million halafu wakapewa 3 million
Ukiitaja Kwa TZS, hizi fedha za madafu, then TZS 3,000,000 inaonekana ni nyingi, lakini uki convet kwenye US $, hiyo ni ,$ 1,300 ni per diem ya kawaida kabisa Kwa viwango vya kimataifa.
Hapo juu ni picha ya kikundi cha ngoma kutoka Bagamoyo walioambatana na Samia huko Marekani.
Duru zinatabanaisha kila mwana kikundi ameidhinishiwa kitita cha milioni 3 kila siku kama matumizi yake awapo huko hiyo ni pamoja na gharama za hotel.
Ikumbukwe gharama zote hizo ni kwa muda wa wiki mbili.
NB: Karibu Tanzania nchi ambayo bodaboda ukimtazama tu anawasha pikipiki 😄!
Hapana acha uzushi na uongo. Kuhusu ndege wanafanya kumchafua. Ila iko siku haya mambo yatakuja kuwarudiaTz bhana, eti mpaka leo hatujui ndege tulizinunua kwa kiasi gani. Jiwe kuepuka siri kuvuja shirika akalihamishi chini yake kukwepa uchunguzi kama aliyofanya kwa kivuko kibovu kukiweka chini ya Jeshi kukwepa watu kikuongelea.
Ok ATC iko chini ya ofisi gani? Je unajua sababu ya kuwekwa chini ya hiyo ofisi?Hapana acha uzushi na uongo. Kuhusu ndege wanafanya kumchafua. Ila iko siku haya mambo yatakuja kuwarudia
ulitaka walipwe kiasi gani ndo iwe sahihi?
Hapo juu ni picha ya kikundi cha ngoma kutoka Bagamoyo walioambatana na Samia huko Marekani.
Duru zinatabanaisha kila mwana kikundi ameidhinishiwa kitita cha milioni 3 kila siku kama matumizi yake awapo huko hiyo ni pamoja na gharama za hotel.
Ikumbukwe gharama zote hizo ni kwa muda wa wiki mbili.
NB: Karibu Tanzania nchi ambayo bodaboda ukimtazama tu anawasha pikipiki 😄!
Hapo juu ni picha ya kikundi cha ngoma kutoka Bagamoyo walioambatana na Samia huko Marekani.
Duru zinatabanaisha kila mwana kikundi ameidhinishiwa kitita cha milioni 3 kila siku kama matumizi yake awapo huko hiyo ni pamoja na gharama za hotel.
Ikumbukwe gharama zote hizo ni kwa muda wa wiki mbili.
NB: Karibu Tanzania nchi ambayo bodaboda ukimtazama tu anawasha pikipiki !
Hilo si kweli. Wanalipwa per diem za serikali nadhani ni kama $450 Kwa siku. Msiwadanye watu
Hapo juu ni picha ya kikundi cha ngoma kutoka Bagamoyo walioambatana na Samia huko Marekani.
Duru zinatabanaisha kila mwana kikundi ameidhinishiwa kitita cha milioni 3 kila siku kama matumizi yake awapo huko hiyo ni pamoja na gharama za hotel.
Ikumbukwe gharama zote hizo ni kwa muda wa wiki mbili.
NB: Karibu Tanzania nchi ambayo bodaboda ukimtazama tu anawasha pikipiki 😄!
Hapo juu ni picha ya kikundi cha ngoma kutoka Bagamoyo walioambatana na Samia huko Marekani.
Duru zinatabanaisha kila mwana kikundi ameidhinishiwa kitita cha milioni 3 kila siku kama matumizi yake awapo huko hiyo ni pamoja na gharama za hotel.
Ikumbukwe gharama zote hizo ni kwa muda wa wiki mbili.
NB: Karibu Tanzania nchi ambayo bodaboda ukimtazama tu anawasha pikipiki 😄!
Hela ndogo sana kama ni pamoja na gharama za hotel. Waache na wao wale maana wameacha shughuli zao majumbani mwao na familia pia zinawategemea.
Hapo juu ni picha ya kikundi cha ngoma kutoka Bagamoyo walioambatana na Samia huko Marekani.
Duru zinatabanaisha kila mwana kikundi ameidhinishiwa kitita cha milioni 3 kila siku kama matumizi yake awapo huko hiyo ni pamoja na gharama za hotel.
Ikumbukwe gharama zote hizo ni kwa muda wa wiki mbili.
NB: Karibu Tanzania nchi ambayo bodaboda ukimtazama tu anawasha pikipiki !