GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,689
- 109,114
Hunter Biden ( Mtoto mkubwa ) wa Rais wa Marekani Joe Biden amepiga Dili ( Kifisadi ) wakati Baba yake akiwa ni Makamu wa Rais wa Rais Barrack Obama lililompatia Fedha ( kinyume cha Utaratibu ) kiasi cha Dola za Kimarekani Milioni Ishirini.
GENTAMYCINE naomba kujua kutoka kwa Waafrika Wenzangu ambao tumebarikiwa Sifa Kubwa ya Unafiki kwanini Makosa haya yakifanywa na Watoto wa Marais wa Afrika wa Tanzania, Angola, Uganda, Rwanda, Libya, Gabon, Ivory Coast, Cameroon na South Africa huwa tunaibuka tuliko na Kulaumu, ila mpaka sasa sijawasikia mkimlaumu huyu Hunter Biden Mtoto wa Rais wa sasa wa Marekani?
Kila Rais anaiangalia Familia yake.
GENTAMYCINE naomba kujua kutoka kwa Waafrika Wenzangu ambao tumebarikiwa Sifa Kubwa ya Unafiki kwanini Makosa haya yakifanywa na Watoto wa Marais wa Afrika wa Tanzania, Angola, Uganda, Rwanda, Libya, Gabon, Ivory Coast, Cameroon na South Africa huwa tunaibuka tuliko na Kulaumu, ila mpaka sasa sijawasikia mkimlaumu huyu Hunter Biden Mtoto wa Rais wa sasa wa Marekani?
Kila Rais anaiangalia Familia yake.