UEFA Champions League, Special Thread

UEFA Champions League, Special Thread

Status
Not open for further replies.
jana nimepiga kelele kinyama
wamesifiwa sana hawa na kuonekana wao ndio wao!
sasa jana yamewakuta

HAkya mama morinho!!!!!!!!!? bonge la kocha
 
jana nimepiga kelele kinyama
wamesifiwa sana hawa na kuonekana wao ndio wao!
sasa jana yamewakuta

HAkya mama morinho!!!!!!!!!? bonge la kocha

kusifia ni kawaida chako kipendo bwana
 
Hahaaaaaaaa,pole dada yangu...nilitabiri ushindi kwa Nerazzurri tangu jana(angalia post namba 2 ya thread hii.....)..........


Leo mie ni mpole sana kakaangu hapa nilipo nashambuliwa na kila mtu mpaka faza house ...
 
Hahaaaaaaaa,pole dada yangu...nilitabiri ushindi kwa Nerazzurri tangu jana(angalia post namba 2 ya thread hii.....)..........
Mkuu Balantanda, mm pia nilikuwa naombea tofauti ya mabao mawili (ushindi kwa inter) na imekuwa hivyo, sasa kazi ni moja tu kwenda kupaki bus na kuwashambuliwa kwa kushtukiza katika marudiano.
By the way nimeshawatabiria kupoteza makombe yote msimu huu!
 
Who else but Mourinho could knock Lionel Messi off the top of the bill?

"We expected to witness another footballing masterclass from Barcelona's brilliant Argie.
But the best player on the planet was upstaged by the most charismatic coach in the universe." - by Jose Mourinho

Souce: The sun
 
Gazeti kubwa la michezo la Italia limepambwa na kichwa kikubwa cha habari '''Barca wabakwa'''
 
Kumbe mnanijua eeh(kidding)..ila jana Barca nao wameoshwa kama walivyowaosha Ars!..tusikilizie 2nd leg!!..No Messi wala Merci!!


ha ha ha ha Belinda ...yeah 2nd leg maajabu yanaweza kutokea ....ndo mpira wenyewe lakini
 
Mie na Barca tu kama samaki na maji ....................nimeshakubali matokeo
 
Mimi kuna kitu nakiona kwa Barca,ni kuwa Barca kwanza ni mtu mmoja yaani Messi sasa tatizo la Messi ambalo mimi nimeliona na sijui kama wengine wameliona ni kama lile la ndege Kanga kutozaa ugenini,Messi na Barca yake wameshindwa kufurukuta mechi zote walizocheza nje ya Hispania.ingawa mi sio Sheikh Yahaya nilijua tu Barca watakula kichapo kutoka kwa team ya Spesho wani,na pia nahisi ndio mwanzo wa mwisho kwani Inter si timu ya kubeza ina beki imara na ukiangalia hiyo beki ni made in south amerika ambapo na robo wa wachezaji wake wanatoke bara hilo ,pia ukiangalia Barca wengi wa wachezaji wake wanatokea huko so sioni ujanja wa barca kuizidi kete Inter na tukaa tusubiri kama kweli maajabu ya Messi yatafanya kazi huko kwao,tuone kama ule usemi wa mtu kwao utatimizwa
 
jamani swala sio mesi pekee ,ni mbinu anayotumia mourinyo josee sio
kama mliona mechi na chelsea walijua BWANA wao ni DROGBA akafichwa akishia red kadi
Jana akaona kuna machokoraawatatu wa barc ukifinya hao basi..mesi mmoja wapo
akika alikuwa anatamani mpira unaisha lini..kabla ajaamini goli 3 zikitinga kwa style ya aina yake

PREDESHEE PAPA JOSEE MOURINYOO AMINIA TUKO NYUMA YAKO HISPANYOLA
 
Kwa kichapo walichokula jana nathubutu kusema Barca OUT! BArca wanajua mpira, Morinho anajua mbinu za medani ya soka. Kumbukeni Mechi ya marudiano Puyol the Skipper nje baada ya kula njano jana na jueni kuwa Inter sio wavulana kama Arsenal ni wanaume- physique ya wachezaji wao iko far better than vijana wa Barca.

Amini usiamini, Morinho anaenda kuweka rekodi mpya! Aliyoyafanya kwa Porto ambayo haikuwa na Super Stars kama Inter yanaenda kutokea Inter na baada ya kuwapa ubingwa jamaa anachapa mwendo na kuiacha Inter.
 
Kwa kichapo walichokula jana nathubutu kusema Barca OUT! BArca wanajua mpira, Morinho anajua mbinu za medani ya soka. Kumbukeni Mechi ya marudiano Puyol the Skipper nje baada ya kula njano jana na jueni kuwa Inter sio wavulana kama Arsenal ni wanaume- physique ya wachezaji wao iko far better than vijana wa Barca.

Amini usiamini, Morinho anaenda kuweka rekodi mpya! Aliyoyafanya kwa Porto ambayo haikuwa na Super Stars kama Inter yanaenda kutokea Inter na baada ya kuwapa ubingwa jamaa anachapa mwendo na kuiacha Inter.

Mechi ya marudiano itakuwa tamu sana, Barca watashambulia sana ili wafunge magoli mengi sasa Inter nao watawashika kwenye counter yale yale ya Man U na Bayern. Vile vile tukumbuke sio timu ya kubeza.
 
The return leg Barca will win 4-1 and go through mark my words, FL tupo pamoja my sista

Hao wakufungwa 4-1 ni hao hao Inter waliocheza jana? Disadvantage ya Barca ni kuwa inabidi washambulie kutafuta magoli mengi na wazuie wasiconcede away goal sasa hapo ndipo patakuwa patamu na tukumbuke kuwa Mourinho ni tactician mzuri sana atakuja na mbinu za kuwafanya jamaa waachie tuu.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom