UEFA Champions League, Special Thread

UEFA Champions League, Special Thread

Status
Not open for further replies.
aaMourinho_2444520.jpg




PepGuardiola_2444526.jpg
 
Mpira unapendeza kuangalia. Nimefurahi sana kwani Barca wangesshinda mechi hii wangevimba bichwa. Itabidi tusubiri mechi ya marudiano.

mechi ya marudiano itakuwa kali sana, hii nusu fainali inter milan kapita tayari manake barcelona kwao itabidi washambulia sana itawapa nafasi inter kuwakamata kwenye counter attack.
 
mechi ya marudiano itakuwa kali sana, hii nusu fainali inter milan kapita tayari manake barcelona kwao itabidi washambulia sana itawapa nafasi inter kuwakamata kwenye counter attack.

Mhh, bado ngoma nzito. Kwanza hadi sasa Barca wanashambulia sana na wanaweza kupata goli moja au zaidi
Unaona huo mchezo wa Dan Alves, kidogo Barca wapate Penalty.
Ngoma bado mkuu!
 
huyu refa kweli kiboko leo simchezo.wakina messi wamejitaidi sana kujirusha lakini wapi.lakini hii naona enati ilikuwa.
 
huyu refa kweli kiboko leo simchezo.wakina messi wamejitaidi sana kujirusha lakini wapi.lakini hii naona enati ilikuwa.

Huyu Refa safi sana, kumbe Wareno wanamarefa wazuri sana, huyu Olegario Benquerenca anaonyesha mfano mzuri. Tuwe tunawaazima EPL.
 
Huyu Refa safi sana, kumbe Wareno wanamarefa wazuri sana, huyu Olegario Benquerenca anaonyesha mfano mzuri. Tuwe tunawaazima EPL.

Hata mimi nimemkubali. Ni mzuri sana kwani angekuwa wa hovyo hii mechi ingeweza kuwa na vituko sana.
 
It is special results for the special one, bravo.
 
It is special results for the special one, bravo.

Ni matokeo mazuri sana. Binafsi sipendi mtu kuwa over-dominant. Hata kama Barca watapita lakini inabidi wahangaikie ushindi. Hata hivyo ningependa kuona bingwa mwingine badala ya Barca. Najua FL1 hatapenda ila ni vizuri pia kwa Barca, wakajiandae kwa ajili msimu ujao.
 
Mechi ijayo Barca wanatakiwa wafunge at least 2-0 and that is a daunting task especially when you are facing a team like Internazionale, cha kufanya Inter wafunge goli moja ugenini alafu wapaki basi.
 
Mechi ijayo Barca wanatakiwa wafunge at least 2-0 and that is a daunting task especially when you are facing a team like Internazionale, cha kufanya Inter wafunge goli moja ugenini alafu wapaki basi.

Bado Barca wana nafasi ila Inter nao wanaweza kuwazuia. Itakuwa ni mechi kali sana kwani hakuna timu iko safe hadi baada ya marudiano.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom