Mkuu Arsene haya ndio matokeo tuliyokuwa tunayasubiri kwa hamu sana. Asante Inter Milan na Mourinho. Sasa presha kwa Barca. Hivi leo nikitabiri kwamba Barça wanaweza kumaliza msimu huu bila kombe nitakosea? Naziona dalili hizo maana wana Inter, Sevilla, Villareal kusevu msimu wao.