UEFA Champions League, Special Thread

UEFA Champions League, Special Thread

Status
Not open for further replies.
I don't trust the ref..nakumbuka kaa yeye ndo alimtoa Puyol pale Emerati, if I'm not mistaken.
 
15 min gone, Barca so far no shot on goal..lol

Kaaz kwelikweli.
 
Mourinho kweli ni master tactician, Barca are not cutting at all.
 
Sasa naanza kuelewa ulimaanisha nini kuwa na wasiwasi na huyu refaree,sasa ameshaaribu game
Muzee there were no way Barca was going to beat Inter 11 vs 11.. Refa naona anafidia lile goli la 3 la offside la Milito kwenye first leg.
 
Vijana msikate tamaa pamoja a mwamuz wao
final tutaingia ongezen maombi walichofanya kupunguza magoli
 
Ahhhhaahhhhhhhhaaaaa
pamoja na kujitahdi naona messsi amefurahia kutolewa bwana wake motta
na sasa anaiomba ndoa mpya na chivu irudiwe akupata mgao wa mahari
qwi qwi heeeeeeee
 
Barca wanabebwa kwelikweli...Refa anajitahidi sana kuwabeba Barca...kaharibu kabisa ladha ya game................aaaaaaaaaaaaaaaaargh
 
Refa kanikata stimu za kuangalia hii game kabisa yaani.......
 
huyu refa kaharibu hii game kama yule wa mautd alivyoaribu game
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom