HahahahaMwaka wa kwanza ndio ulivyo,utakuta wengi bado wamesuka,wana vaa nguo zao za kushonesha,kuna watu utakuta wamejikoki na suti nzito za kushonesha chini panaa,wasichana wanavaa zile skuna za kijijini na wanasalimia kwa kupiga magoti.Wana mabegi na makaunta book makubwa na rula na mikebe wameshanunua.
Sasa baada ya kupata boom utakuta wanakimbilia Kariakoo kununua jeans na suruali na vikoba vya begani.Baada ya miezi sita unaanza kutafuta nguo za kushona.Kuziona labda uvizie siku ya Jumapili.
Waache vijana waji praud, mbona hata wa ifm, cbe, na TIA wanavaaga
Nimekupata mkuu. Kuna idara chuo kimoja imefanikiwa kutoa viongozi wa vyuo kama 6 kwa muda mfupi-sasa kazi hapo ni tia maji tia maji. Lakini wakubwa hawaoni na ukisema utaonekana huwatakii waheshimiwa mafanikio.ukinisoma between lines utajua nimemaanisha nini!
Binafsi nimefundishwa na baadhi ya hao wateule ni ukweli usiopingika wapo vizuri kuliko hawa wengine wanao ajiriwa kipindi hiki
Binafsi naona jpm anaiharibu udsm
Heshima yako Mkuu kwa uchambuzi huuMwaka wa kwanza ndio ulivyo,utakuta wengi bado wamesuka,wana vaa nguo zao za kushonesha,kuna watu utakuta wamejikoki na suti nzito za kushonesha chini panaa,wasichana wanavaa zile skuna za kijijini na wanasalimia kwa kupiga magoti.Wana mabegi na makaunta book makubwa na rula na mikebe wameshanunua.
Sasa baada ya kupata boom utakuta wanakimbilia Kariakoo kununua jeans na suruali na vikoba vya begani.Baada ya miezi sita unaanza kutafuta nguo za kushona.Kuziona labda uvizie siku ya Jumapili.

Kuvaa ni kuwa na mawazo yasio komaa ..mkuu utakaguliwa vyeti....acha masihara yako.Wakikomaa kimawazo wataacha ni stage tu hiyo
Mkuu sana, mada haikuwa huku but anyways ngoja nikupe mfano mmoja tu Wa wataalam Wa kiswahili kutoka UDSM na simaanishi kuwa vyuo vingine havina impact ila kwa kuwa issue on the table ni UDSM.the worst thing ni kwamba, they have no any credible impact after three good years in the collage.
kwa mfano, bachelor in Kiswahili 🙄 🙄
its impact is actually likely to deem up to -0.0%.
utamkuta huyo kagangamara kama kisiki, udsm! udsm! udsm!
😀 😀
Kuvaa hizo ID holder kwa lengo la kuwekea ID sio ujinga ila itakuwa ujinga kama wanavaa holders peke yake bila kuweka ID lakini ni ujinga zaidi kutaka vijana wasivae hizo holders kwa ajili ya lengo lilokusudiwa!
Hivi kuitoa mfukoni na kuionesha au kuivaa anapoingia maeneo anayotakiwa awe ameivaa kunachua muda gani?Kwa namna linavyojadiliwa,hapana shaka suala hili lina 'maslahi ya umma'.Ninajaribu kujibu kutoka 'viatu' vya wanafunzi wanaolalamikiwa.Haitakuwa haki kumtaka mwanafunzi aishiye Mabibo Hostel avue ID mara atokapo Chuoni awe anatembea kwa miguu ama kwa usafiri wa gari.Hii ni kutokana na ukweli kwamba akifika getini Mabibo atalazimika kuonyesha ID.
Wale wanaoenda nazo Posta ama Kimara ama kwingineko,wanakabiliwa na changamoto ile ile:wanaporejea Hosteli ama Mabwenini Mlimani watapaswa kuzionyesha na kwa hiyo kwenda nazo mtaani inaweza kuwa sahihi.Ipo hoja ya kuzivua na kuziweka mfukoni mara watokapo getini.Hii nayo haitekelezeki kirahisi kwa sababu upo uwezekano wa kuibiwa ama kupotea na kusababisha usumbufu mkubwa kwa muhusika.Bila ID hawapati huduma na kuzipata inagharimu nishati,nguvu,muda na pesa.
Kwa sehemu kubwa wanafunzi husika wanazo sababu za msingi za kuvaa ID zao.Tujifunze kuvumiliana na kuchukuliana.Kabla ya kutafuta makosa elewa mazingira.
CoET moja
(KIPANGA)sio kwamba anaumia roho ..ila anawaonea huruma watakavyonaona roho inakuuma saana unapowaona hao vijana wamevaa hizo ID
Hivi wew ulisoma chuo gani mkuu ??
mtaani na bahasha wakitoka hapo..alaf wengine ndio B.A siajiriki..upungufu wa akili kichwanii.. soma uzi vizuri na pangua hoja zote kama sio masifa hayo ni nini,, ukweli wajulikana bana tubishe tuu UDSM TUNAJIONA HADI YAWA KERO KITU KIDOGO UDSMAcheni kufuatilia vitu vidogo vidogo, kuvaa au kutokuvaa ID nje ya neeo husika ni maamuzi ya mtu mwenyewe na wala haimpunguzii chochote mtu mwingine.
Ukiwa na fikra za kudharauliwa ndio utajiona upo chini kwa kila kitu.
Wapo watu wengi tunawaona na vitambulisho vyao njiani lakini hatuchukulii kama kujionyesha.
Na nadhani kutakuwa na utofauti wa kweli kwa UDSM ndio maan imekuuma.
Fanya yako kiongozi.
ukweli ni kwamba zimeandikwa UDSM STUDENT sasa inawapa vichwa weng kuivaa muda wote nahisi hata ww unahak kau ugonjwa,,, tuacheni ujing wakujiona tukumbuke kuna maisha baada ya chuo hayo maisha hayatajali umesoma chuo ganiKtk mazingira official ni lazima kuvaa id hata kama upo monchwari . kwenda nayo popote ni sawa inawasaidia sana wanafunzi wanapotoka lekcha za Usiku kurudi hostel ila wanaonenda nazo k,koo wamezidi ila kwa ubungo ni sawa tuu assume mtu katoka lekcha SAA 2 Usiku anaenda mabibo hostel kwa mguu akifika getini anatakiwa aivae tena shingoni sasa akiiacha mpka anaingia rum kwake kuna shida gani