UDSM tupunguzeni masifa sasa

UDSM tupunguzeni masifa sasa

Watu bahna, ule ni utambulisho wao. They are proud of! wacha wavae wanajikubali ni wanafunzi mbona askari anapita na nguo zake popote? Huo ni utambulisho kuwa yeye ni mwanafunzi sio dhambi. Wacha wafurahie wakati ukipita basi.
Basi wavae tu sare kama hao maaskari kieleweke. Na mashati yapigwe nembo kubwa UDSM,, alafu kitambulisho mtu akiwa mbali hwez kukujua ila uniform ndo yenyewe.
 
Basi wavae tu sare kama hao maaskari kieleweke. Na mashati yapigwe nembo kubwa UDSM,, alafu kitambulisho mtu akiwa mbali hwez kukujua ila uniform ndo yenyewe.
hahaha
 
Wapo wadogo zao MUCE nao wamekuwa kama mbuzi... Muda wote wana kamba
 
Wapo wadogo zao MUCE nao wamekuwa kama mbuzi... Muda wote wana kamba
udsm kuna ugonjwa flan wakujiona tangu nilipoingiaga hapa nikaona huu ugonjwa ila sikuupenda mimi ,, watu wanafrahii kuitwa UDSM ila hajui kuna maisha baada ya chuo
 
Hususani mwaka wa kwanza ndo imekuwa kero kusoma UDSM sio sababu unasoma mbinguni ..Haiwezekani mtu unaenda na kamba ya ID hadi Makumbusho, mwenge, Mbezi, POSTA, Kariakooo useme umesahau..

Kinachokupa kiburi uivae muda wote ni kisa imeandikwa tu UDSM student.
Tuacheni huu ujinga mbona UDSM chuo cha kawaida hata kama ndo cha kwanza Tanzania ila isifanye tuonekane washamba. Mana hizo kamba za ID wafanyakazi wa mashirika yote wanazo ila huwez mkuta mtu nazo barabarani kama ni nje ya eneo la kazi.

Zilitolewa kwa ajili ya ndani ya chuo si kwa mauzo yaaan mitandao yote ya jamiii imekuwa kero na hiyo kamba kisa imeandikwa tuu UDSM student jamani.

Mtu anapiga picha na Kaushi ila amening'iniza kamba ya ID sasa wakati wavua shati unataka sema ulisahau kamba ya ID au masifa jamani...
Imekuwa kama ng'ombe sasa na kengele.
Aizeee mkuu hii kero sana mana kuna kajamaa kamekuja huku mbeya bado kanavaa likamba lake shingoni kutoka udsm..yani kero tupu hizi
 
udsm kuna ugonjwa flan wakujiona tangu nilipoingiaga hapa nikaona huu ugonjwa ila sikuupenda mimi ,, watu wanafrahii kuitwa UDSM ila hajui kuna maisha baada ya chuo
Huo ugonjwa unaitwa "ULIMBUKENI" vile vikamba vinazalisha tabia flan flan sio za kiafrika... Kati ya neno na neno kunakuwa na msamiati wa kigeni kuonesha msisitizo... Madogo wanasumbua sana. Ila poa wakishamaliza wanarudi kwao hakuna uzungu tena
 
Mwaka wa kwanza ndio ulivyo,utakuta wengi bado wamesuka,wana vaa nguo zao za kushonesha,kuna watu utakuta wamejikoki na suti nzito za kushonesha chini panaa,wasichana wanavaa zile skuna za kijijini na wanasalimia kwa kupiga magoti.Wana mabegi na makaunta book makubwa na rula na mikebe wameshanunua.
Sasa baada ya kupata boom utakuta wanakimbilia Kariakoo kununua jeans na suruali na vikoba vya begani.Baada ya miezi sita unaanza kutafuta nguo za kushona.Kuziona labda uvizie siku ya Jumapili.
 
Kumbe tatizo ni hilo neno UDSM Student..... Maana hata akilivaa hilo kamba sioni tofauti na nguo yake nyingine yoyote au hata begi lake. Nimegundua tatizo lenu hamtaki neno UDSM.... Immagine lingekuwa kamba halina maandishi hayo.... Msingeongea. Vaeni tu bhana, tatizo nini hapo mtu anapita na likamba lake shingoni?
 
Hususani mwaka wa kwanza ndo imekuwa kero kusoma UDSM sio sababu unasoma mbinguni ..Haiwezekani mtu unaenda na kamba ya ID hadi Makumbusho, mwenge, Mbezi, POSTA, Kariakooo useme umesahau..

Kinachokupa kiburi uivae muda wote ni kisa imeandikwa tu UDSM student.
Tuacheni huu ujinga mbona UDSM chuo cha kawaida hata kama ndo cha kwanza Tanzania ila isifanye tuonekane washamba. Mana hizo kamba za ID wafanyakazi wa mashirika yote wanazo ila huwez mkuta mtu nazo barabarani kama ni nje ya eneo la kazi.

Zilitolewa kwa ajili ya ndani ya chuo si kwa mauzo yaaan mitandao yote ya jamiii imekuwa kero na hiyo kamba kisa imeandikwa tuu UDSM student jamani.

Mtu anapiga picha na Kaushi ila amening'iniza kamba ya ID sasa wakati wavua shati unataka sema ulisahau kamba ya ID au masifa jamani...
Imekuwa kama ng'ombe sasa na kengele.
Kuna kujisahau sio sifa kama uhisivyo na sio wote uko na bias tu. Nimewahi fika Moro na kitambulisho cha Law School shingoni (sio makusudi)
 
Kuna kujisahau sio sifa kama uhisivyo na sio wote uko na bias tu. Nimewahi fika Moro na kitambulisho cha Law School shingoni (sio makusudi)
Hyo ulisahau ww ndo maana hadi leo unakumbuka hyo event sasa wenzio UDSM, MUCE n. k ni sehemu ya basic needs. Kila anapokuwepo ni lazima avae ID shingon
 
Hiv ndio hao wasomi ambao mtu hata ukimuuliza swali kulingana na taaluma yake anajizungusha?
!!?,gedree za xx nyingi za kupeana ila si za uwezo wa mtu
 
Sishangai, UDSM ndo chuo kinachoongoza kwa kupokea washamba wengi kutoka mikoani wengine huwa wanabadilika wakifika mwaka wa tatu na wengine ndo wanabaki hivyo hivyo mpaka huku maofisini bado ni wanama tu
Ndio chuo pekee kinachopokea Gifted na Talented.

Chuo chenye Ma-TO au vipanga wa masomo kitaifa kwenye mitihani ya kidato cha nne na sita.

Ndio chuo pekee ambacho wanafunzi wake huweza kupata nafasi ya kuongea na viongozi wa kiulimwengu kama viongozi hao wakija Tanzania. Mfano G. Bush, Obama n.k.

Ndio chuo pekee ambacho kipo katika Noti ya sh.500 ya Tanzania.

Ndio Chuo pekee ambacho kinakozi nyingi na maprofesa wakutosha kuliko chuo chochote.


Sasa we mtu asomaye katika chuo hicho utawezaje kumwita mshamba ikiwa wewe hufikia hata nusu ya IQ yake. Au ujanja kwako ni UPI??

Acha wajivunia mafanikio yao, maana hata wao wanakuona umshamba.

Kila MTU na afurahie maisha na mafanikio yake.

Safi sana Wadogo zetu wa Udsm mnaonyesha uzalendo mkubwa Sana kwa Chuo chenu.
 
Kumbe tatizo ni hilo neno UDSM Student..... Maana hata akilivaa hilo kamba sioni tofauti na nguo yake nyingine yoyote au hata begi lake. Nimegundua tatizo lenu hamtaki neno UDSM.... Immagine lingekuwa kamba halina maandishi hayo.... Msingeongea. Vaeni tu bhana, tatizo nini hapo mtu anapita na likamba lake shingoni?

Baadhi ya Watanzania wamechanganyikiwa Mkuu.

Mtu na mapenzi yake kwa chuo chake eti Ushamba. Yaani Elimu kweli ni muhimu.

Mbona kuna watu wanavaa majezi ya Man U, Liverpool n.k. hamuwasemi. Hayo ni mapenzi ya mtu jamani.

Kila mtu anao Uhuru wake katika kuvaa ilimradi asivunje sheria.
 
Kipindi tunaingia chuo fasheni ilikuwa kuvaa miwani za macho.

Jamii flani toka kanda ya ziwa walikua na mamiwani hao balaa. Ni msimu tu hata hawa wa ID watajiona malofa na kurudi normal.

Wakikua wataacha. Ubaya shule zetu hazina somo la etiquette na manners. Na kama lipo basi walimu wenyewe sio.
ukanda wa ziwa mkoa gani mkuu niweke wazi, ilikuwa miaka ipi, huenda nilikuwapo kipind hicho?
 
Baadhi ya Watanzania wamechanganyikiwa Mkuu.

Mtu na mapenzi yake kwa chuo chake eti Ushamba. Yaani Elimu kweli ni muhimu.

Mbona kuna watu wanavaa majezi ya Man U, Liverpool n.k. hamuwasemi. Hayo ni mapenzi ya mtu jamani.
zina sehem zake sio kila mahali mbona wafanyakazi wengine wanazo ila uwez mkuta barabarani mtu mana anajua ni ujinga nisawa na uchafu,,, maana yake ni kuwa kinapokuwa sehem si yake ni uchafu

Kila mtu anao Uhuru wake katika kuvaa ilimradi asivunje sheria.
 
Back
Top Bottom