UDSM tupunguzeni masifa sasa

UDSM tupunguzeni masifa sasa

Baadhi ya Watanzania wamechanganyikiwa Mkuu.

Mtu na mapenzi yake kwa chuo chake eti Ushamba. Yaani Elimu kweli ni muhimu.

Mbona kuna watu wanavaa majezi ya Man U, Liverpool n.k. hamuwasemi. Hayo ni mapenzi ya mtu jamani.
zina sehem zake sio kila mahali mbona wafanyakazi wengine wanazo ila uwez mkuta barabarani mtu mana anajua ni ujinga nisawa na uchafu,,, maana yake ni kuwa kinapokuwa sehem si yake ni uchafu

Kila mtu anao Uhuru wake katika kuvaa ilimradi asivunje sheria.
 
Wengine wapuuzi.... Kweli mara kupost shule ngumu.... Mara test tyt..... Selfie kibaoo..... Mbona MUHAS..SUA...BUGANDO coz tyt hawana hizo..
 
Wengine wapuuzi.... Kweli mara kupost shule ngumu.... Mara test tyt..... Selfie kibaoo..... Mbona MUHAS..SUA...BUGANDO coz tyt hawana hizo..
umesema aiseee mbona vyu vingne wametulia tuuu
 
Umri wao unaruhusu waache wazivae wakisha graduate watazisahau na kuanza kulaumu maisha magumu
 
Hakuna point ! Kama kweli unasoma udsm , ungejua sababu kwanini wengi wao wanasahau , we ni hater tu wa udsm ....utaumia sana..
 
Hakuna point ! Kama kweli unasoma udsm , ungejua sababu kwanini wengi wao wanasahau , we ni hater tu wa udsm ....utaumia sana..
mimi ni mwana udsm ila ukweli ubaki kuwa ukweli UDSM tuna sifa ya kujiona yaaan hata ukibisha ndo ukweli huo hamna cha kusahau wala nn weng ni ile aonekane anasoma udsm, siezi taja meng hapa kuwa udsm tunajiona kwa lipi ila yako meng sana wakat sijafikaga udsm nilikuwa nayaskia ila nilipochaguliwa nikaona vijana weng wanapenda masifa bila kuangalia maisha yapo baada ya chuo
 
Hyo ulisahau ww ndo maana hadi leo unakumbuka hyo event sasa wenzio UDSM, MUCE n. k ni sehemu ya basic needs. Kila anapokuwepo ni lazima avae ID shingon
Huo utaratibu nadhani upo strictly mlimani, ukienda duce hukuti wanafunz na Ids shingoni.
 
Huo utaratibu nadhani upo strictly mlimani, ukienda duce hukuti wanafunz na Ids shingoni.
hamna lolote getini wanasumbuana na walinzi hawajavaa ila wakitoka njee ya chuo wanazo weng wamegeuza sehem za mauzo sio sehem yake usika wanajidai kusahau ila asilimia kubwa ni ya kuuzia
 
Back
Top Bottom