UDSM tupunguzeni masifa sasa

UDSM tupunguzeni masifa sasa

SIjasubiria mtu wa chuo kingine aje aongelee hili ... niko hapa UD mwaka wa tatu ila huu ni ujinga
Kuvaa hizo ID holder kwa lengo la kuwekea ID sio ujinga ila itakuwa ujinga kama wanavaa holders peke yake bila kuweka ID lakini ni ujinga zaidi kutaka vijana wasivae hizo holders kwa ajili ya lengo lilokusudiwa!
 
Sishangai, UDSM ndo chuo kinachoongoza kwa kupokea washamba wengi kutoka mikoani wengine huwa wanabadilika wakifika mwaka wa tatu na wengine ndo wanabaki hivyo hivyo mpaka huku maofisini bado ni wanama tu
 
Mwaka wa kwanza ndio ulivyo,utakuta wengi bado wamesuka,wana vaa nguo zao za kushonesha,kuna watu utakuta wamejikoki na suti nzito za kushonesha chini panaa,wasichana wanavaa zile skuna za kijijini na wanasalimia kwa kupiga magoti.Wana mabegi na makaunta book makubwa na rula na mikebe wameshanunua.
Sasa baada ya kupata boom utakuta wanakimbilia Kariakoo kununua jeans na suruali na vikoba vya begani.Baada ya miezi sita unaanza kutafuta nguo za kushona.Kuziona labda uvizie siku ya Jumapili.
 
Duh.... Afadhali hizi Sheria za ajabu ajabu hazikutukuta.....
 
nyinyi nazani masifa ni moja ya somo mnalofundishwa,,niliwai hudhulia interview sehem fulani nikiwa km interviewer,basi jamaa ikafika zamu ya jamaa wa ud tn fresh from school,,akaulizwa tofauti kati ya direct v indirect tax na utoe mfano wa kila 1,,jamaa akaeleza ila vice versa,,sasa ubishi ukaanza kwenye kumrekebisha,,aisee wnafunzi wa ud wabishi hata kwa wasivyojua
 
Sishangai, UDSM ndo chuo kinachoongoza kwa kupokea washamba wengi kutoka mikoani wengine huwa wanabadilika wakifika mwaka wa tatu na wengine ndo wanabaki hivyo hivyo mpaka huku maofisini bado ni wanama tu
Watu kama nyinyi ndio mnaaibisha vyuo vingine! Ni ujinga uliokubuhu kuanza kuponda mtu kwa sababu ya kuhisi anajidai kwa sababu pengine ya status yake kumbe hata sio kabisa ila tu inferiority yako ndio unakufanya umwone vile! Acheni hzo kwa hiyo unataka kutuambia TCU wanacreteria za ushamba na ujanja katika kupanga wanafunzi et?

Kila siku nawaambia tafuteni ujuzi badala ya kukaa kulalama kuwa nani anajidai yuko wapi halafu unaanza kuleta defensive mechanism ili uonekane na wewe upo! Soko ndio litadetermine nani aliiva na nani alifata cheti!

Mafanikio yako hayatapimwa kwa kuangalia babu yako alikuwa na kimo gani! Tunaanzia ulipo hatuangalii ulipita wapi au ulimiliki nini!
 
Kwa namna linavyojadiliwa,hapana shaka suala hili lina 'maslahi ya umma'.Ninajaribu kujibu kutoka 'viatu' vya wanafunzi wanaolalamikiwa.Haitakuwa haki kumtaka mwanafunzi aishiye Mabibo Hostel avue ID mara atokapo Chuoni awe anatembea kwa miguu ama kwa usafiri wa gari.Hii ni kutokana na ukweli kwamba akifika getini Mabibo atalazimika kuonyesha ID.

Wale wanaoenda nazo Posta ama Kimara ama kwingineko,wanakabiliwa na changamoto ile ile:wanaporejea Hosteli ama Mabwenini Mlimani watapaswa kuzionyesha na kwa hiyo kwenda nazo mtaani inaweza kuwa sahihi.Ipo hoja ya kuzivua na kuziweka mfukoni mara watokapo getini.Hii nayo haitekelezeki kirahisi kwa sababu upo uwezekano wa kuibiwa ama kupotea na kusababisha usumbufu mkubwa kwa muhusika.Bila ID hawapati huduma na kuzipata inagharimu nishati,nguvu,muda na pesa.

Kwa sehemu kubwa wanafunzi husika wanazo sababu za msingi za kuvaa ID zao.Tujifunze kuvumiliana na kuchukuliana.Kabla ya kutafuta makosa elewa mazingira.
 
Na je, akivaa au kutovaa kunapunguza au kuongeza chochote?
Ukivaa itakutambulisha ka we n mwanafynz wa ud asa kama wewe unataka kila unakopita watu wajue amepita jamaa wa ud basi vaa tuuu............ Usipovaa unaonekana laia wa kawaida
 
Kwani uongo kama udsm ni think tank ya tz?
Jpm karibu anamaliza maprof wote wa udsm......

Udsm hoyeee
Na wewe unashangilia? Au UDSM haihitaji hao maprofesa? Akiendelea hivyo baada ya miaka mitano tutajuliana hali.
 
Vijana wa mkoa hao mjanja wa dar hawezi geuza Id chein mpaka unapiga nayo picha ushamba nao ni mzigo
 
hawa waluga luga tabu kweli.

hapo utakuta anasoma BACHELOR IN KISWAHILI.

BAeD 😀 😀

Lawwwwd have mercy.

hawana madhara wala athari zozote kwao wenyewe, na zaidi kwa taifa.

they are merely there consuming all the oxygen and bragging all the time udsm! udsm! udsm! 🙁 🙁🙁

lawwwd 😡 😡
 
Back
Top Bottom