Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,239
Mm kuna mpangaji mwenzangu akikuja nayo mpaka huku home.. Nikamuuliza akajifanya eti alikuwa amesahau kuvua..
yani anavaa ID ana-imagine yuko ofisini kwake BOT.Mm kuna mpangaji mwenzangu akikuja nayo mpaka huku home.. Nikamuuliza akajifanya eti alikuwa amesahau kuvua..
yani anavaa ID ana-imagine yuko ofisini kwake BOT.Kuvaa hizo ID holder kwa lengo la kuwekea ID sio ujinga ila itakuwa ujinga kama wanavaa holders peke yake bila kuweka ID lakini ni ujinga zaidi kutaka vijana wasivae hizo holders kwa ajili ya lengo lilokusudiwa!SIjasubiria mtu wa chuo kingine aje aongelee hili ... niko hapa UD mwaka wa tatu ila huu ni ujinga
Tena izo ID zinawarahisishia wamachinga wakiwaona tu na ID zao wanajua hawa walugaluga wameshika laki tano za mkopo,mkuu inawezekana wanawapunguzia bei za bidhaa wakiona hizo id!

ha haaaaa haaaaaNdio hao hao wametufikisha hapa tulipo.. Eti think tank... Nyooo
Watu kama nyinyi ndio mnaaibisha vyuo vingine! Ni ujinga uliokubuhu kuanza kuponda mtu kwa sababu ya kuhisi anajidai kwa sababu pengine ya status yake kumbe hata sio kabisa ila tu inferiority yako ndio unakufanya umwone vile! Acheni hzo kwa hiyo unataka kutuambia TCU wanacreteria za ushamba na ujanja katika kupanga wanafunzi et?Sishangai, UDSM ndo chuo kinachoongoza kwa kupokea washamba wengi kutoka mikoani wengine huwa wanabadilika wakifika mwaka wa tatu na wengine ndo wanabaki hivyo hivyo mpaka huku maofisini bado ni wanama tu
Na je, akivaa au kutovaa kunapunguza au kuongeza chochote?Tatizo cio ud kuwa hivyo tatizo n kwann utembee nayo kila sehemu mpk masokoni kaliakoo huko
Ukivaa itakutambulisha ka we n mwanafynz wa ud asa kama wewe unataka kila unakopita watu wajue amepita jamaa wa ud basi vaa tuuu............ Usipovaa unaonekana laia wa kawaidaNa je, akivaa au kutovaa kunapunguza au kuongeza chochote?
Na wewe unashangilia? Au UDSM haihitaji hao maprofesa? Akiendelea hivyo baada ya miaka mitano tutajuliana hali.Kwani uongo kama udsm ni think tank ya tz?
Jpm karibu anamaliza maprof wote wa udsm......
Udsm hoyeee
Ndo Habar yA mjini wakina ngosha wanZurula nayo kariakoo hayo
mkuu Wahaya hao wapenda sifa