Uchumi wako unaweza kununua kitu gani unachojisikia?

Watu wana hela mazee...siku moja kuna mzee alinipa simu yake nimrekebishie akiwa anapiga aweze kuchagua either ni sim1/sim2 sasa alivyonipa ilikuwa upande wa msg niliona msg crdb bank(naona aliweka mpunga siku hyo) mzee ana 600m halafu yuko normal kabsa!
 
Kila mtu anafanya manunuzi katika level yake ya maisha aliyonayo.

Hata mtu anayenunua private jet kuna vitu na yeye anaona bado hawezi fika bei kuvinunua.

View attachment 2939122
Swaumu ya leo kali sana, nipo hapa na wife tunasubiri adhana tupate futari.
Swadakta, ugali ni jambo muhimu sana, vingine nyongeza
tu.
Nu ukishiba hivyo vinginevyo vinakuja tu
 
Nilikuwa napita pita zangu huko mtandaoni,nikakutana na tangazo la wauza viwanja (madalali).

Nilisikitika sana baada ya kusoma like tangazo. Nikasema Bongo Kuna watu Wana uchumi ambao wanaweza kununua kiwanja chochote na mahali popote. Na Hawa siyo kina Mo na Bahresa,ni watu tu ambao wapo low key ila ni wanene(mafogo/matajiri).

Nikijiangalia, najiona Sina uwezo wa kununua kiwanja mahali popote pale ninapotaka,Wala kujenga nyumba yeyote ninayoitaka kwa sababu uchumi wangu upo limited.

Siku nimeenda Kidimbwi nikagundua kumbe Mimi Bado sana. Yani hata kinywaji (pombe) Sina uwezo wa kununua pombe yoyote ninayojisikia kununua. Kwa sababu nilikutana na pombe za hadi milioni mbili,alafu chupa Moja tu jamani!! Mbaya zaidi Kuna watu wananunua bila kumuuliza uliza bei Wala kujikuna kichwa.

Kuna watu Wana uchumi wa kwenda mahali popote pale duniani kula Bata.

Mwingine ana uwezo/uchumi wa kula chochote anachojisikia na muda waowote akitaka.

Mwingine ana uwezo wa kununua gari lolote linalouzwa hapa duniani,wakati Kuna kina sisi hata Toyota Passo inakuwa kipengere.

Anyways,turudi kwenye swali;

Uchumi wako una nguvu ya kufanya nini unachojisikia?
Kunawatu wanafedha lakin hawapendi kufahamika kabisa
 
Nilikuwa napita pita zangu huko mtandaoni,nikakutana na tangazo la wauza viwanja (madalali).

Nilisikitika sana baada ya kusoma like tangazo. Nikasema Bongo Kuna watu Wana uchumi ambao wanaweza kununua kiwanja chochote na mahali popote. Na Hawa siyo kina Mo na Bahresa,ni watu tu ambao wapo low key ila ni wanene(mafogo/matajiri).

Nikijiangalia, najiona Sina uwezo wa kununua kiwanja mahali popote pale ninapotaka,Wala kujenga nyumba yeyote ninayoitaka kwa sababu uchumi wangu upo limited.

Siku nimeenda Kidimbwi nikagundua kumbe Mimi Bado sana. Yani hata kinywaji (pombe) Sina uwezo wa kununua pombe yoyote ninayojisikia kununua. Kwa sababu nilikutana na pombe za hadi milioni mbili,alafu chupa Moja tu jamani!! Mbaya zaidi Kuna watu wananunua bila kumuuliza uliza bei Wala kujikuna kichwa.

Kuna watu Wana uchumi wa kwenda mahali popote pale duniani kula Bata.

Mwingine ana uwezo/uchumi wa kula chochote anachojisikia na muda waowote akitaka.

Mwingine ana uwezo wa kununua gari lolote linalouzwa hapa duniani,wakati Kuna kina sisi hata Toyota Passo inakuwa kipengere.

Anyways,turudi kwenye swali;

Uchumi wako una nguvu ya kufanya nini unachojisikia?
Ujinga ni kuwa na fedha nyingi nakuishi kama vile huna
 
Nilikuwa napita pita zangu huko mtandaoni,nikakutana na tangazo la wauza viwanja (madalali).

Nilisikitika sana baada ya kusoma like tangazo. Nikasema Bongo Kuna watu Wana uchumi ambao wanaweza kununua kiwanja chochote na mahali popote. Na Hawa siyo kina Mo na Bahresa,ni watu tu ambao wapo low key ila ni wanene(mafogo/matajiri).

Nikijiangalia, najiona Sina uwezo wa kununua kiwanja mahali popote pale ninapotaka,Wala kujenga nyumba yeyote ninayoitaka kwa sababu uchumi wangu upo limited.

Siku nimeenda Kidimbwi nikagundua kumbe Mimi Bado sana. Yani hata kinywaji (pombe) Sina uwezo wa kununua pombe yoyote ninayojisikia kununua. Kwa sababu nilikutana na pombe za hadi milioni mbili,alafu chupa Moja tu jamani!! Mbaya zaidi Kuna watu wananunua bila kumuuliza uliza bei Wala kujikuna kichwa.

Kuna watu Wana uchumi wa kwenda mahali popote pale duniani kula Bata.

Mwingine ana uwezo/uchumi wa kula chochote anachojisikia na muda waowote akitaka.

Mwingine ana uwezo wa kununua gari lolote linalouzwa hapa duniani,wakati Kuna kina sisi hata Toyota Passo inakuwa kipengere.

Anyways,turudi kwenye swali;

Uchumi wako una nguvu ya kufanya nini unachojisikia?
Kiberiti na chumvi ya mawe 😂😂😂😂
 
Viwanja kaka.

Alafu vuta picha Kuna watu hawawazi kabisa kuhusu Hela ya kununua hivyo viwanja. Yani mtu anaangalia hiyo list kama mimi ninavyoangalia list ya viwanja vya milioni 2 kule vikindu.
Dah acha tuzidi kutafuta hela, msechu aje aimbe msimbani kwangu😂.

Kuna watu Wana mkwanja, na hawana ma presha aisee, Kama sisi tunavyo wazia vitu Kama vichaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom