Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,125
- 8,232
Point namba moja..ni similar to Magufuli alipoigawa Tanzania na kuleta chuki na taharuki. rejea matamko yake ya kutopeleka maendeleo sehemu walizochaguliwa wapinzani kikatiba.Hayo yote ulosema si ya kweli na hawa watu wawili hawafanani hata kidogo.
Donald Trump anashindwa kutetea kiti chake cha uraisi kwa sababu mbili kubwa.
1. Ameigawa Marekani na kuifanya iwe na watu wenye chuki baina ya wao kwa wao.
Hiyo ni kwa kutoa kauliza mara kwa mara za kuwaunga mkono wazungu wenye msimamo mkali wa KKK.
2. Amezembea katika kuchukua hatua kupambana na ugonjwa wa COVID-19 ambao umeua raia 235,000 wengi wao wakiwa wadengereko wenzetu.
Hawa ni wale walokuwa wakiokotwa mabarabarani na kuzikwa kama mizoga ya wanyama.
Wakati mwingine tukitoa maoni yetu tuondoe hisia kali tuegemee zaidi uhalisia.
Kuhusu corona, tushukuru tu Mungu jiografia yetu imetubeba pia population ya Tanzania si sawa na Marekani, Hivyo kama coronà ingetukamata vizuri, Magufuli will be a big looser.!