Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,446
- 7,821
Kipenga cha 2025 kishapulizwa na kauli za wanasiasa zishaanza, Makonda akiwa Hai kasema mbinguni walishamchukulia fomu Rais Samia na hata mbunge wa zamani wa Hai(Mbowe) anajua Rais Samia ametumwa na Mungu.
======================
For English Audience
The 2025 political winds have already started blowing and statements from politicians are emerging. Makonda, believe President Samia is God chosen and even Mbowe know that. And he also said that once she took over the first thing she did was reconcile the Tanzanians with out considering the difference of political parties, ethnic group or status.
PIA, SOMA:
Uteuzi wa Makonda kuwa Mwenezi
Kauli na matamko mengine ya Makonda
For English Audience
The 2025 political winds have already started blowing and statements from politicians are emerging. Makonda, believe President Samia is God chosen and even Mbowe know that. And he also said that once she took over the first thing she did was reconcile the Tanzanians with out considering the difference of political parties, ethnic group or status.
PIA, SOMA:
Uteuzi wa Makonda kuwa Mwenezi
Kauli na matamko mengine ya Makonda
- Makonda: 2024 na 2025 tutakupima kwa kazi; sio kwa maneno, sio kwa kugawa kanga kipindi cha uchaguzi
- Makonda: Yetote mwenye sifa atasimamia uchaguzi
- Paul Makonda: Tumechoka na ahadi za treni za umeme
- Makonda: Ningeteuliwa kuwa Mwenezi kipindi cha Magufuli wangenyooka hawa
- Sifanyi mikutano ya kujaza watu kwa kutumia wasanii kwasababu tunataka kuona uhai wa CCM na jumuiya zake - Mwenezi Makonda
- Mwenezi Makonda amuagiza Meya na Mkurugenzi Halmshauri ya Pangani kuhakikisha kituo cha afya cha mwenbeni kinajengwa - Pangani
- Mwenezi Makonda ampatia tsh milioni 2 kijana mjasiriamali mwenye kujiendeleza kibiashara
- Makonda: Siasa imemlipa Mbowe kajenga kasri
- Mwenezi Makonda amuagiza Meya na Mkurugenzi Halmshauri ya Pangani kuhakikisha kituo cha afya cha mwenbeni kinajengwa - Pangani
- Makonda ambananisha meneja TANROADS Geita: Ahoji ni lini mkataba wa ujenzi wa barabara ya Kahama - Kakoro (km 60) utasainiwa ili ujenzi kuanza
- Paul Makonda: Lissu mjanja ameona maandamano hayana maana
- Makonda: Mbinguni walimchukulia fomu Rais Samia. Adai Mbowe anajua kama Samia ametumwa na Mungu
- Makonda: Wafanyabiashara huichangia CCM kwa kuogopa wasiletewe TRA, TAKUKURU, uhamiaji ama Polisi
- Makonda: Stendi mpya Iringa ipewe jina la Chongolo