Tweets za Binti wa Anna Tibaijuka

Tweets za Binti wa Anna Tibaijuka

Status
Not open for further replies.
B1HgTD7IEAA1aKQ.jpg:large

Acha kurusha matusi bhanaaa
How old is she anyway?
 
saa zingine maishu kama haya ni bora mtu ukae kimya tu kuliko kujidhalilisha mitandaoni humu...hajitambui dogo huyo akwendreeeeee kule
 
kanaonekana kafisadi sana, kwanza kako nchi gani
 
Mfikishie tu salamu huyo binti ya kwamba na aijue sasa hiyo ndio CCM aliyoipenda na kuitumikia mama wake Prof Anna, na hata ikamfanya na yeye leo atweet hizo tweets zake akiwa huko Ugaibini anapoishi.

Does she plus her mama think they know CCM?!! They are wrong watafakari upya...!
 
nimeipenda hiyo aliyosema..."I KNOW THE TRUTH". nna wasiwasi huu UKWELI ukisemwa JK ataihama nchi...HAPONI! wametuibia sana hawa washenzy!

Si walimwomba na kumbembeleza...bado anakula nchi huyo bila nyazifa maana benefits zooote atakula haha kama EL, huyo Werema... hii ndio tz ua ccm.
 
Mfikishie tu salamu huyo binti ya kwamba na aijue sasa hiyo ndio CCM aliyoipenda na kuitumikia mama wake Prof Anna, na hata ikamfanya na yeye leo atweet hizo tweets zake akiwa huko Ugaibini anapoishi.

Does she plus her mama think they know CCM?!! They are wrong watafakari upya...!

watajuta kuifahamu CCM...they will juta to know CCM (ngoja nasi tuwaonyeshe kwamba kimombo tunakijua ijapokuwa tumesomea st kayumba)
 
hahahaa Dogo anamlaumu nan sasa CCM ? Aingie CDM sasa na alete ukweli. CCM alikuwa anaisikia tu na ataijua sasa vizuriiiiiiii
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom