Tweets za Binti wa Anna Tibaijuka

Tweets za Binti wa Anna Tibaijuka

Status
Not open for further replies.

kadoda11

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2011
Posts
21,453
Reaction score
20,755
KagemTibaijuka @KagemTibaijuka · 56m56 minutes ago

This is aimed at diaspora Tanzanians who are so desperate to be part of the convo but you aren't here with us. Shut. the. ***.up (5/7)
0 replies6 retweets0 favorites Reply
Retweet6
Favorite
More





KagemTibaijuka @KagemTibaijuka · 58m58 minutes ago

My mum did nothing wrong except wanting to help young girls get an education. A school built with my late father. Accepted a donation (2/7)
0 replies12 retweets0 favorites Reply
Retweeted12
Favorite
More






KagemTibaijuka @KagemTibaijuka · 46m46 minutes ago

But more disappointed about the women in Tanzania who are so happy to see a woman down on her luck. Don't worry your time will come.
0 replies9 retweets0 favorites Reply
Retweet9
Favorite









KagemTibaijuka @KagemTibaijuka · 44m44 minutes ago

So glad I can finally say how I feel about this whole #EscrowSaga. People believe what they want to believe, I know the truth.




KagemTibaijuka @KagemTibaijuka · 60m60 minutes ago

A donation that was from clean money upon which TRA taxes were paid (3/7)
0 replies11 retweets0 favorites Reply
Retweet11
Favorite
More


 
138811e450c6600c431b57079708cf9c.jpeg
 
Huyu naye soon atakuwa Fisadi kama mama yake mpeni nafasi.
 
Na wale wa Ikulu waliopokea kati ya milioni 800 na bilioni 5 je walizipokea kwa majina yepi!? Walitumia majina yao halisi au walitumia majina fake au ya "kampuni" zao? Bado kuna maswali mengi sana ambayo hayana majibu.

Clean money, 1.65B into your personal account and you call it clean money...kwani shule haina account
 
pumbavu kabisa binti Tibaijuka wewe,kizazi cha kifisadi nyie,halafu mwambie mamako arudishe pesa zetu kabla hatujataifisha vi asset vyenu.
 
Na wale wa Ikulu waliopokea kati ya milioni 800 na bilioni 5 je walizipokea kwa majina yepi!? Walitumia majina yao halisi au walitumia majina fake au ya "kampuni" zao? Bado kuna maswali mengi sana ambayo hayana majibu.

Nilifikiri nimeliona peke yangu hili!!!
Wale wanaozungumziwa kwenye hii saga in wale wa Mkombozi Bank tu wa bilioni 70,sijaona kabisa wale wa Stanbic bank wa bilioni 200 wakizungumziwa kabisa na mbaya zaidi upande huo nasikia ndipo familia ya JK ilipoingiziwa!!!

Nafikiri kufukuzwa kwa Tibaijuka utakuwa mwanzo wa kujua yote,maana kuna kundi ambalo halitakubali mama huyo 'afe' peke yake!Kwani inavyoonyesha,ametolewa muhanga kwa ajili ya kuipoza tu hii saga!
Time will tell!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom