Mama Tibaijuka anapenda kuchukua Fursa hii kuushukuru JF kwa kazi kubwa waliyofanya juu ya kumkanya Binti yake baada ya kuwa amewatusi Watanzania pasipo kutumwa na mtu bali alijiamulia mwenyewe, Kwa kweli hata yeye amekuwa akikerwa na Tabia za Ajabu za Binti yake na anashangaa sijui hiyo Tabia kaitoa wapi ! Maana yeye binafsi licha ya Upepo mbaya Kumpatia huwa hana Tabia za Uchoyo na kutusi watu.