Tweets za Binti wa Anna Tibaijuka

Tweets za Binti wa Anna Tibaijuka

Status
Not open for further replies.
kwanza mkuu nikupe hongera kidogo maana leo utalala usingizi mzuri. Binti mwenyewe huyu!


blogger-image--1593854567.jpg
Sisi tunayemjua huyu BINTI ukipewa story zake utashangaa
 
haka katoto katamuongezea mama yake BP ,Caltex na Shell

Hakana maadili hata kidogo
 
KWa hili sakata la ESCROW naona hata wanachama wa CCM wale wapiga debe wameona kuwa wanakausha mate yao midomoni hivyo wameamua kubadilika.

Leo W. J. Malecela ameguswa sana na kauli mbovu za mama na mwana Tibaijuka.

Huyu ni mtu wa mfano wa kuigwa na CCM wengine, palipo na uozo tusiweke mambo ya itikadi mbele bali Taifa mbele.

Bila shaka na FaizaFoxy , Lizaboni na wengineo wanaojifanya wana msimamo mkali wa kiitikadi watabadilika.


wewe unapiga debe wenzio wanakula...... ni ujinga hata watoto wachanga watakucheka....


TANZANIA KWANZA, VYAMA BAADAYe



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Last edited by a moderator:
Hako kabinti ka mama Tibaijuka huwa kana Roho mbaya sana na pia ni Kachoyo hakuna Mfano, kuna nyumba yao kanaishi pale Mikocheni kanawanyanyasa sana ndugu na wafanyakazi hakatati Wageni kana Roho mbaya sana hata mama yake anakajua vyema ndiyo mama huwa hawaishi pamoja.
 
Wakati mnaendelea kutokwa mapovu hapa jana watuhumiwa wa EPA Rwekaza na ndugu yake wameachiwa huru kutokana na DPP kutoa ushahidi dhaifu.

Ccm oyeeee!

Kwani hao ndio wa kwanza???!!!
Mbona karibu wanaishia huko walikowekwa!!
 
Hujui kuangalia wanawake!

Yawezekana labda issue ni screen ya simu yangu (blackberry), ni ndogo! Situmii screen ya comp!! Ngoja nitamuangalia kwenye computer. Ila kwa jinsi nionavyo kwenye simu yangu, anaonekana ana kashepu kwangu.
 
kikum234a kitaishia simu za kuhongwa, hakiwzi kuwatukana watanzania wana ccm

Huyo binti huwa ana Akili Mbovu sana hata mama yake huwa haishi naye kwani alikuwa akimfukuzia Wageni kutokana na vitendo vyake vibaya ni mkatili na Mchoyo hakuna Mfano.
 
Haya ndio malezi aliyopewa na mama??? Au malezi ya house girl mama akiwa busy kusaka noti????
 
Mtaji wa maskini sikuzote ni majungu wivu na unafkii
Jadilini hoja iliopo kwenye post..Nyinyi kama ndio mliomuumba huyo bint, basi ndio mkosoe maumbile yake...
Nyny wakosoaji fanyeni hivi ukiwa unakosoa weka picha yako na unaye mkosoa..
Acheni wivu na unafkii..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom