Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,265
- 8,099
sura ka ugali wa udaga
bidada hata wewe umo? msamehe bure....but ni kweli hata mama yake kwa sura yake, you would expect her to be humble not that arrogant
sura ka ugali wa udaga
anawatukana "madayasipora".ngoja wenyewe waje.
Saizi STK ataisikia kwenye bomba....leo ndio mwisho kuipanda.....
Nilifikiri nimeliona peke yangu hili!!!
Wale wanaozungumziwa kwenye hii saga in wale wa Mkombozi Bank tu wa bilioni 70,sijaona kabisa wale wa bilioni 200 wakizungumziwa kabisa na mbaya zaidi upande huo nasikia ndipo familia ya JK ilipoingiziwa!!!
Nafikiri kufukuzwa kwa Tibaijuka utakuwa mwanzo wa kujua yote,maana kuna kundi ambalo halitakubali mama huyo 'afe' peke yake!
Time will tell!!
Ana makosa !! Kwahiyo leprofesel wako n mpumbavu eeeh ?
wackkkk........HE must be out of HER mind...(he and her...msinikosoe tafadhali) Eti shule inayosaidia young girls. School fee at tzs 4.5 - 5ml you still call that a help?...you must be out of your senses
Na wale wa Ikulu waliopokea kati ya milioni 800 na bilioni 5 je walizipokea kwa majina yepi!? Walitumia majina yao halisi au walitumia majina fake au ya "kampuni" zao? Bado kuna maswali mengi sana ambayo hayana majibu.
Kumbe Ndiye huyu!![]()
Acha kurusha matusi bhanaaa
Kama wana ushahidi dhidi yake wa yeye kupokea mgao kwa jina lake au kupitia kwa yeyote yule awe mama Wama au muajiriwa wa Ikulu aliyepewa maelezo huu ni mgao wa DHAIFU basi waweke kila kitu hadharani tena bila kuchelewa. Rais anasema ripoti ya CAG ichapwe magazetini ili Watanzania tuisome, mbona haruhusu ripoti ya TAKUKURU nayo ichapishwe magazetini ili nayo tuisome!?
ila karembo kweli asee. Kangeoana na diamond wangezaa dolphin..
Mjomba wajanja walienda na magunia...
![]()
Acha kurusha matusi bhanaaa
anawatukana "madayasipora".ngoja wenyewe waje.
Mkuu,
Tatizo la akaunti za Stanbic bank,akaunt zote hazikuwa na majina ya waliotumiwa pesa.Nafikiri hicho ndicho kilichomlewesha mama tiba na kufikiri kuwa hata likibumburuka bac kitakuwa kifo cha wengi!Kumbe wenzie wamemzidi akili,yeye akaingia mzima mzima na jina lake akaliweka kwenye akaunti!
![]()
Acha kurusha matusi bhanaaa