tpaul
Platinum Member
- Feb 3, 2008
- 27,355
- 28,278
kwanza mkuu nikupe hongera kidogo maana leo utalala usingizi mzuri. Binti mwenyewe huyu!
![]()
hiki kinyago cha mpepure ndicho kinatutukana hivi?
kwanza mkuu nikupe hongera kidogo maana leo utalala usingizi mzuri. Binti mwenyewe huyu!
![]()
You ain't neva out of words ma nigga.
You ain't feeling them tiddays:becky:?
Her underarms look nasty though.....looks like they haven't seen a razor-blade for a couple days.
Dah! Asante tena ila kiukweli sasa baada ya kuona hii picha, kwa shape kamenimaliza. Umbo ndo type yangu hiyo. Dah! Mazee unakajua nini! Naona toka mwanzo nikisema haonekani shape unanidondoshea kitu ambacho kipo clear zaidi! Au ndo mambo ya instagram, wengine hatufikagi huko wala fesibuku. Asante!haya hiyo hapo
![]()
- Duh no comment U know!!
Le Mutuz
Hahahaha! Watu mnamaneno!ila karembo kweli asee. Kangeoana na diamond wangezaa dolphin..
yule mama inaonekana hajawahi kupiga deal....aliweweseka sana tangu hii saga ianze
yule mama inaonekana hajawahi kupiga deal....aliweweseka sana tangu hii saga ianze
Ndilo tatizo kubwa la manyang'au; hawana urafiki wa kudumu, urafiki ni pale chakula kipo na wanakula wote. Hawakawii kutafunana pale mwenzao moja anapojikwaa na kuanza kuonesha dalili ya kudhoofika kwani ndizo tabia zao...!Le Mutuz Na Huyo Binti Wote Akili Moja... Na Kwa Mfano Jk Angemtetea Tibaijuka Huyu Babu Yangu Malecela Angekuwa Upande Wa Kagem Tibaijuka.
Anamtindi huyo ni noma
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
- Haya ni matusi yaliyorusshwa na mtoto wa Waziri wa zamani wa Ardhi Mama Anna Tibaijuka, maana yake ni kwamba huyu mtoto alidhani Mama yake atakuwa Waziri mpaka mwisho wa Dunia na hiki kiburi cha kuamini Mama yake atakuwa Waziri wa Milele anakitoa wapi kama sio toka kwa mzazi wake? Hawa ndio Viongozi wetu wa sasa hata watoto wao nao wamejivika kiburi cha ajabu maana hata Mama yake naye alidai akijizulu Rais atamshangaa na kwamba yeye ni jembe la Rais, huku wafanyakazi wa Ardhi wamepanga kufanya sherehe kubwa za kushangilia kuondoka kwake. CCM irudishe tena ile taibia ya Viongozi wake wa juu kupitia Kivukoni kwanza maana ni huzuni kwa mtoto wa Waziri wa zamani wa CCM kurusha maneno machafu kama haya kwa wananchi, ina maana mpaka sasa huyu mtoto haelewi madhambi ya Mama yake ya kupokea mapesa mengi akiwa kwenye nafasi ya UWaziri wa Jamhuri, sasa kama hata watoto wao hawaelewi na wanakimbilia kugombea uongozi wa Taifa tutegemee nini hasa kutoka kwa hawa Viongozi wetu na watoto wao?
- Kuna siku Mama yake aliwahi kukuta magari mengi kwenye njia anayopita kwenda nyumbani kwake kwa sababu inapitia Club ya 327 Mikochen, Mama kwa hasira akafunga ile Club kisa magari yamemsumbua kwenye njia ya kufika kwake, sasa niambie huyu ni kiongozi wa Taifa ambaye hawezi kuheshimu starehe za wananchi, anaifunga Club kwa sababu tu kakasirika sasa ndio maana na watoto wao wanakuwa na kiburi cha ajabu kama huyu mjinga aliyerushia wananchi matusi huko twitter, this is sad!!
Le Mutuz
Mkuu,
Tatizo la akaunti za Stanbic bank,akaunt zote hazikuwa na majina ya waliotumiwa pesa.Nafikiri hicho ndicho kilichomlewesha mama tiba na kufikiri kuwa hata likibumburuka bac kitakuwa kifo cha wengi!Kumbe wenzie wamemzidi akili,yeye akaingia mzima mzima na jina lake akaliweka kwenye akaunti!