Mkuu, mimi nakumbuka UKAWA ndio walikimbia bungeni wakiongozwa na msomi wa uchumi, prof. Lipumbu, tena ni baada ya kulamba posho zote za vikao.Ila sijaona chama Cha kumbukumbu Kama ccm mchakato wa katiba waliuanzisha wao wakausimamia wao walipoona ohooo hii katiba itatuchinja wenyewe wakalitelekeza jangwani.