Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,197
- 25,517
- Thread starter
- #21
Ndiyo. Kupokea, kuchambua na kuwasilisha shida za wananchi wa Jimbo Bungeni si jambo dogo. Ni jambo linalohitaji kufanyiwa kazi kubwa ya kiakili na kimwili. Ubunge si lelemama!Kwani ubunge unapaswa kuwa mgumu na unaotisha?
WTF!!