kilaghonyi
Member
- Dec 27, 2016
- 39
- 32
Sawasawa kabisa ila ukumbuke ile ilikuwa china ya kijamaa na hii tunayo izungumzia niyakibepariSasa iyo nguvu unayotumia tukatae huo mkataba basi ielekeze ili tuweze kuuona huo mkataba.
Unakataaje kitu ambacho hukifahamu? Embu jaribu kutafakari na wewe.
Nikukumbushe tu kuwa, hao hao wachina unaowaona na kusema wametaka bandar sijui wapi, ndio waliomsaidia Nyerere kuongoza nchi kwa kipindi chote alichokuwa madarakani.
Kuanzia ndege za jeshi, silaha za kijeshi, mifumo ya utawala n.k