Haina maana kwenda polisi wakati tuna vyombo vinavyotakiwa kufuatilia swala hili, hawa watu wanahatarisha usalama wa taifa, je hao watu wa kijitonyama a.k.a USALAMA WA TAIFA wanafanya nini? au kazi yao ni kuchakachua tu?
Narudia kusema tena kuwa ni muhimu nchi kuwa na RAIS. Tungekuwa na RAIS angeshaikemea hali hii kwa mamlaka na hali ingekuwa shwari. Hii siyo mara ya kwanza hoja za udini kuibuka. tofauti ni kuwa hizi hoja huko nyuma zilikemewa kila zilipoibuka maana RAIS alikuwepo. Kwa sasa TZ ni kama nyumba ambayo baba amesafiri na kila mtoto anajitawala kivyake. Wa kurudi amelewa haya, wakuleta wasichana kwenye geto lake haya, wa kulala kwenye disko haya na hakuna wa kukemea maana wazazi hawapo. Tunahitaji kuwa na RAIS
Katika moja ya hotuba za Nyerere ambazo hadi sasa huwa wanziweka anasema: "Ukitaka kumsaidia mtu maskini wasomeshe watoto wake". Baada ya uhura aliahidi angondoa kabisa gepu lililokuwepo baina ya waislam na wakristu katika elimu na yeye ndie alikuwa na jukumu la kuwasomesha wtz bila kujali dini zao lakini kwa makusudi akaamua kuwasomesha wakrsitu akijua kuwa hiyo ndo njia pekee ya kuwaondoa kwenye umaskini na unyonge akwaacha waislamu.
Akajifanya anataifisha shule za seminari lakini kumbe ilikuwa ni kiini macho,malengo ya shule hizo na viongozi walibaki ni walewale,yeye alizitaifisha ili serikali iweze kuziendesha vizuri maana wakati wa mkoloni zilikuwa zinaendeshaw na ruzuku ya serikali sasa baada ya uhuru ndo akatumia janja lakini kwekli waislamu tuliumia sana
Ibilisi wa mtu ni mtu!!!Mkuu, hiyo unasema wewe kwa kuwa unaelewa maana ya dini ya kweli. Bahati mbaya kwa waisilamu wanavyofundishana kule kwenye redio imaan FM, adui ya Muislamu siyo Ibilisi ni Mkiristo !
Maskini!!! Msiba mkubwa kabisa umeikabili nafsi yako na ubongo wako umedumaa!! (samahani lakini! nahisi unaishi dunia tofauti na hii na u mgeni kabisa!!) Sijui unaijua indonesia na malaysia ziko dunia gani au umeropokwa tu! je nako kuna mafuta kule? Hilo la Nigeria nadhani pia bado u ndotoni na si Nigeria pekee bali Afrika magharibi yote fuatilia upate majawabu halisi ili ububusa ukutoke. Wacha kutumia mdomo kufikiri tumia ubongo rafiki.wanatengeneza magaidi wa kujilipua, watajilipua, watatuachia nchi sisi tutaendelea kuishi kwasababu hatuamini kupigana au kufanya vita...wakati mambo yanachangamka kwenye mihadhara yao, nawashauri wakristo na waislam wale wasiopenda fujo wajikite zaidi kupiga shule na kutafuta maisha....wao watakula mihadhara hiyohiyo.....
ukweli ni kwamba, hata ufanye nini, ukimweka mkristo na mwislam pamoja wafanye kitu, mwislam hawezi kwenda pamoja na mkristo...chukua mfano shule....mimi mtoto wangu nampeleka chekechea anaanza kupiga shule, mwislam anampeleka madrassa kusoma dini, wakianza wote lakwanza wangu atakuwa na background nzuri hivyo ataongoza darasani, atakuwa na moyo huo matokeo yake anaishia university.
uislam unafanya kazi nchi zenye mafuta sehemu ambao watu hawatumii sana elimu/akili, bali wanachota tu mafuta na kuishi....dunia nzima tembea utakuwa waislam wanaishia kuuza vijiduka vidogo tu na si investment za akili......Nigeria nayo ni tz? mbona Nigeria maeneo yale ya kusini kwa wakristo ndo kuna maendeleo ukienda kule kaskazini kwenye sharia, umasikini wa kutupwa...tz nayo hawa watu wa pwani wanatandika mkeka tu na kusubiri majini yakachume ulete...nafikiri kama kuna kitu cha kuwasaidia hawa wenzetu ni kuwapa elimu..itawakomboa sana.
wake wanaoa wengi, wanashindwa kusomesha watoto, matokeo yake wanalalamika wanaonewa, wakati sisi wakristo watoto wetu ni wa bajeti hivyo tunawasomesha wote...wake wengi wanawamaliza, madrassa zinamaliza watoto wenu....kalagabaho.
Kagusa himaya nini? 🙂Maskini!!! Msiba mkubwa kabisa umeikabili nafsi yako na ubongo wako umedumaa!! (samahani lakini! nahisi unaishi dunia tofauti na hii na u mgeni kabisa!!) Sijui unaijua indonesia na malaysia ziko dunia gani au umeropokwa tu! je nako kuna mafuta kule? Hilo la Nigeria nadhani pia bado u ndotoni na si Nigeria pekee bali Afrika magharibi yote fuatilia upate majawabu halisi ili ububusa ukutoke. Wacha kutumia mdomo kufikiri tumia ubongo rafiki.
Haina maana kwenda polisi wakati tuna vyombo vinavyotakiwa kufuatilia swala hili, hawa watu wanahatarisha usalama wa taifa, je hao watu wa kijitonyama a.k.a USALAMA WA TAIFA wanafanya nini? au kazi yao ni kuchakachua tu?
Radio imaan 104.4 FM kwa dar kipindi saafi kabisa
jee hii ni haki?