Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,842
Aseme neno gani wakati kaukumbatia udini? SSM yake ndiyo inaimba udini kila siku!!! Sijawahi sikia CDM wanaimba udini ila wanasingiziwa ni wadini na wakabila. Bora wadini na wakabila kuliko wezi na mafisadi na vitega uchumi vyao vya kiuaji kama kile kiwanda cha kupitia mgongo wa madhabidha ambao serikali katika maswali ilidhamini 40% na mwekezaji 60%!!! But who is this serikali? Iliyoko madarakani? Under which rullling party? SSM??