Kagemro
JF-Expert Member
- Jan 11, 2010
- 1,433
- 633
Wanafiki wakubwa wanadai wanapigania maslahi ya taifa kumbe ni unafiki tu wakikatoliki!
wewe wewe wewe,huna jipya.Mtu kilaza kama wewe tabu sana.
Wanafiki wakubwa wanadai wanapigania maslahi ya taifa kumbe ni unafiki tu wakikatoliki!
Ndugu Zangu,
JANA usiku katika pekuapekua zangu za idhaa za redioni, nikakutana, kwa mara ya kwanza, na Redio Imaan FM. Inatangaza kutoka Morogoro. Nilichosikiliza kilikuwa kipindi maalum cha marudio kutoka Jumapili iliyopita. Niseme neon moja tu na kwa msisitizo: NILISHTUKA.
Hakika, kilichokuwa kikirushwa hewani ni matangazo ya uchochezi. Kuchochea uhasama baina ya Watanzania Waislam na Watanzania wenzao Wakristo. Nilijiuliza, kama taifa tunakwenda wapi? Na maswali yakawa mengi. Je, Tume ya Utangazaji inafahamu kinachoendelea au imelala usingizi? Je, watu wetu wa Intelijensia hawana taarifa za Kiintelijensia juu ya kinachooendelea?
Naam. uzoefu unatufundisha, kuwa kuwasha moto ni jambo jepesi sana, lakini, kuuzima moto, yaweza kuwa ni kazi ngumu sana.
Moto ulioanza kwenye nyumba moja ya nyasi kijijini, waweza kusambaa haraka na hata kuteketeza nyumba nyingine, mali na kuhatarisha maisha.
Nimekumbushia mara kadhaa, kuwa historia ni mwalimu mzuri. Mwezi Aprili 6, mwaka 1999 katika iliyokuwa Hoteli ya Kilimanjaro, Bi Joy Mukanyange , aliyekuwa Balozi wa Rwanda hapa Tanzania, alituambia Watanzania juu ya kile alichokiona lakini sisi Watanzania hatukukiona. Ilikuwa ni katika mjadala rasmi wa kumbukumbu ya mauji ya kimbari ya watu wa Rwanda ya mwaka 1994.
Bi Mukanyange alisema: " Naogopa., kwani nimeanza kuona dalili zinazojengeka za mgawanyiko wa kidini nchini Tanzania na eneo lote la Maziwa Makuu, hali ambayo inaweza kusababisha mauaji ya halaiki kama yale yaliyotokea nchini mwetu mwaka 1994," alisema Balozi huyo wa Rwanda kabla ya kuendelea kutoa ufafanuzi wa historia ya Rwanda na matukio yaliyosababisha maujai yale ya Wanyarwanda ya wao kwa wao. Ni kauli ya kuitafakari kwa makini.
Mimi sasa naamini, kuwa Afrika mvunja nchi si mwananchi, bali ni mwanasiasa. Ni kwa kutanguliza mbele maslahi ya kisiasa badala ya kitaifa. Masikini nchi yetu, Watanzania hawana udini ila kuna wachache, na hasa wanasiasa, walio tayari kutumia mtaji wa udini kutimiza malengo yao. Inasikitisha sana, kuwa baadhi ya wanasiasa, hata kwa kutumia udini, wameamua kutupitisha Watanzania katika njia isiyo salama. Ili mradi, malengo yao yatimie.
Watanzania tukubali sasa, kuwa nchi yetu imepatwa na bahati mbaya ya baadhi ya Watanzania wenzetu kuanza kupandikiza mbegu za chuki miongoni mwetu. Kuna wanaotaka tuanze kubaguana kwa misingi ya kidini. Hili ni jambo la hatari sana.
Taratibu tumeanza kuizoea misamiati ya sisi na wao. Mathalan, sisi Wakristo na wao Waislamu. Sisi Wachagga na wao Wazaramo. Tunasahau, kuwa katika nchi yetu hii hakuna Sisi na Wao, kuna SISI tu.Tutakapokumbwa na maafa ya kitaifa watakaoathirika ni SISI, hakutakuwa na WAO.
Hatari kubwa ninayoiona ni tatizo la baadhi ya Watanzania kuwa na ufahamu mdogo juu ya dunia tunayoishi sasa, kibaya zaidi,ufahamu mdogo wa historia yetu. Uelewa wa historia ya jamii husika ni jambo muhimu sana.
Kiumbe huwezi kuelewa ya leo, kesho na kesho kutwa kama huelewi ya jana. Kuielewa historia yako ni kuelewa ulipo na unakokwenda.
Dalili tunazoziona sasa za kupandikiza mbegu za chuki kwa misingi ya udini si dalili njema. Haya yatatupelekea kwenye maafa.
Hii ni nchi yetu. Katika ulimwengu tunamoishi kuna mamilioni ya watu wasio na nchi. Wahenga wetu walishiriki katika kuijenga nchi hii, wametutarajia sisi tuendelee kuijenga na kuilinda hadhi ya nchi hii.
Muda wetu wa kuishi humu duniani ni mfupi sana. Tuyachambue matatizo halisi ya jamii yetu. Kisha tusiishie kwenye kuyaorodhesha, hiyo ni kazi rahisi sana. Tutafute njia ya kuyatatua matatizo hayo.
Hatuna haja ya kubaguana kwa misingi ya ukabila, dini na rangi. Sisi wote ni Watanzania. Tuna historia ya kujivunia. Ni historia yetu wenyewe.
Mtanzania halisi na mkweli kwa nchi yake atazungumzia matatizo ya Tanzania kwa ujumla wake. Hatakuwa na sababu ya kunyoosha kidole kwa Wahindi, Walutheli, Waprotestanti, Wasabato, Wakatoliki, Washia, Wasunni, Waismailia, wenye kuamini jadi, Wazaramo, Wagogo au Wachagga, kwamba ndio wa kulaumiwa.
Wenye kuathirika na umasikini wa nchi hii ni wengi mno. Si Wakristo peke yao, si Waislamu peke yao, si Wapagani peke yao, si Wamachinga peke yao na si Wazaramo peke yao.
Wahenga walisema "kamba hukatikia pabovu". Kamwe huwezi kuwavuruga Watanzania na kuwafanya wachinjane kwa sababu za kudai kuna upendeleo wa ukabila au wa kisiasa. Nchi hii ina makabila zaidi ya 125 na utitiri wa vyama vya siasa.
Mahala ambapo unaweza kuwagawa Watanzania na hata kufanikiwa wachinjane ni kwenye masuala ya imani. Tusikubali dini iwe ndiyo penye ubovu kwenye kamba inayotuunganisha Watanzania. Mungu Ibariki Tanzania.
Maggid
Mimi la kufelishwa makusudi nalikataa. Nilisoma Mtwara Technical na Dadi Yusuf Namtumba, aliongoza mchepuo wa "Mechanical" tangu siku ya kwanza hadi tunamaliza. Alipewa haki yake ya kuendelea na masomo Arusha Technical College. Katika familia yangu, babu mkubwa (kaka wa babu yangu) alifanya kazi ya jeshi huko Burma (leo Mynmar). Aliporudi kijijini, yeye na familia yake wakuwa waislam, ingawa wengine walikuwa bado wahehe (siyo waislam, sio wakristo; ukristo ukikuwepo ila ulikuwa bado mpya). Wakatoliki wakaanzisha shule (elimu dunia) na kuwasajili watoto wa wafuasi wa imani yao. Baba yangu akamshawishi babu mkubwa alimbadilisha jina baba mdogo (mtoto wa baba mkubwa) kutoka Ahmed kuwa Wailes ili asome shule ya wakatoliki (shule pekee kijijini wakati wetu ambayo ilisomesha watu wa imani yao). Kazi ilikuwa kubwa, kwani baba aliona hiyo ilkuwa ndiyo njia pekee ya kumsadia mdogo wake apate elimu, wakati babu aliona ni namna ya kumbadilisha mwanae imani. Baba akamwambia mdogo wake kuwa ukifika mbele huko utakuwa na uhuru wa kuabudu na elimu utakuwa nayo, Mungu akikupa uzima. Baada ya kuhitimu std 8, aliendelea na masomo Mkwawa High School (wakati huo). Alipokuwa anaingia A'Level alirudia jina lake la Ahmed. Matokeo ya mitihani yake (PCB) alitolewa hihalali, akapata scholarship kwenda kusoma udakitari; na hadi leo ni dakitari. Ingawa baba hakuwa Mkristo wala Mwislam, alijua faida ya elimu. Hata palipo na shida, vikwazo; tufikirie namna ya fanikiwa sio visingizio na kuchafuana. Tunaweza kuwaadhibu wale tunaohisi wanatusababishia matatizo, lakini tukashindwa kujiendeleza wenyewe wakati wale wamekwisha wamaliza.
Tutafika tu wanako taka tufike,maana matusi sasa yamedhidi kuanzia jumatatu hadi hivi leo ukipita maeneo ya manzese(barekhesa)kuna mdahalo mkubwa sana unaendelea pale,japo sijawai kuhudhuria na wala sitarajihii hata siku moja kuudhuria,lakina ukiwa napita na gari kikubwa kinacho jadiliwa ni bibilia(bible)na kuwatukana wakristo,sasa sijui tunaelekea wapi,yaani watu baada ya kufanya kazi wanaadhisha vitu vya ajabu na kuongea ujinga.angalizo:Tufanye kazi watanzania tuache kuhubiri dini kwa kutukana watu na kutoa maneno ya uchochezi.hii nchi yetu sote na hizi habari za udini hazita tupa maendeleo bali maumivu tu.mungu ibariki tanzania.
Umenikumbusha kitabu cha Padri John Sivalon 'SIASA ZA TZ NA KANISA KATOLIKI'. Anaeleza kuwa Nyerere aliahidi kulipa kanisa a better chance(Upendeleo maalum) pia alisema kuwa ilikuwa ni vigumu ktk utawala wa Nyerere kutofautisha ni lipi la kanisa na ni lipi la serikali. Sasa unaposema kuwa waislam watasoma shule zao na kutibiwa hospitali zao una maana taasis za serikali zitakuwa wapi? au hizo taasisi za serikali ndo hizo hizo za kanisa? ndo matunda ya fumo kristu hayo uliojengwa na Nyerere.hayo yameanza muda mrefu sana, hapa dar kuna radio kheri, kule moro kuna radio imaan, pia kuna radio kuran pale magomeni, na magazeti kibao wanayoyatumia kuwahamasisha waislam..cha ajabu ni kwamba, watajikuta wamejigawa wao wenyewe away from christians , watasoma shule za kwao, wataenda hospitali za kwao kwa kina shehe yahya kule mwembe chai, na wataishia kubuya bwimbwi tu badala ya kula ugali halisi. the more they incite hatred, the more wanavyojiaibisha na kujianika na kuiabisha dini yao, na mwisho wa yote, tutavuna kondoo wengi waje kwa Bwana kwasababu huko kwao wataona ukweli waziwazi ipi njia sahihi, njia ya ugaidi au njia ya amani na uponyaji katika Yesu Kristo.
hicho kituo cha redio ni cha kufunga-nashangaa serikali imekaa kimya
We kweli ni mzushi.Elimu ya madrasa ni elimu kama elimu zingine,inalenga kupanua kichwa cha mtoto na wala sio kukidumaza kama unavyodhani.Mnajitahidi kuipiga vita lakini mmefeli kwa sababu kila msikiti sasa unakuta madrsa sambamba na chekechea.kwa hiyo mmeula wa chuya.wanatengeneza magaidi wa kujilipua, watajilipua, watatuachia nchi sisi tutaendelea kuishi kwasababu hatuamini kupigana au kufanya vita...wakati mambo yanachangamka kwenye mihadhara yao, nawashauri wakristo na waislam wale wasiopenda fujo wajikite zaidi kupiga shule na kutafuta maisha....wao watakula mihadhara hiyohiyo.....
ukweli ni kwamba, hata ufanye nini, ukimweka mkristo na mwislam pamoja wafanye kitu, mwislam hawezi kwenda pamoja na mkristo...chukua mfano shule....mimi mtoto wangu nampeleka chekechea anaanza kupiga shule, mwislam anampeleka madrassa kusoma dini, wakianza wote lakwanza wangu atakuwa na background nzuri hivyo ataongoza darasani, atakuwa na moyo huo matokeo yake anaishia university.
uislam unafanya kazi nchi zenye mafuta sehemu ambao watu hawatumii sana elimu/akili, bali wanachota tu mafuta na kuishi....dunia nzima tembea utakuwa waislam wanaishia kuuza vijiduka vidogo tu na si investment za akili......Nigeria nayo ni tz? mbona Nigeria maeneo yale ya kusini kwa wakristo ndo kuna maendeleo ukienda kule kaskazini kwenye sharia, umasikini wa kutupwa...tz nayo hawa watu wa pwani wanatandika mkeka tu na kusubiri majini yakachume ulete...nafikiri kama kuna kitu cha kuwasaidia hawa wenzetu ni kuwapa elimu..itawakomboa sana.
wake wanaoa wengi, wanashindwa kusomesha watoto, matokeo yake wanalalamika wanaonewa, wakati sisi wakristo watoto wetu ni wa bajeti hivyo tunawasomesha wote...wake wengi wanawamaliza, madrassa zinamaliza watoto wenu....kalagabaho.
adui ya muislamu siyo mkiristo ni ibilisi, na adui ya mkiristo siyo muislamu ni ibilisi
tukifahamu kwamba ibilisi ndiyo baba ya ufisadi, ubaguzi, uchoyo, dhulma, uwongouwongo basi sisi wana wa adamu tukaungana kwa pamoja kupambana na mambo haya bila shaka tutakuwa tunamdhoofisha ibilisi na hatimaye kusimika misingi ya amani ya kweli, fanaka na furaha.
Mwenyezi mungu ni mmoja na ni wetu sote, askofu akikemea maovu yatupasa kuwaunga mkono, mashehe wakikemea maovu yatupasa kuwaunga mkono.
Mwenyezi mungu anasema katika qur'an (nukuu isiyo rasmi) [" tuliandika katika zaburi kwamba hii ardhi itarithiwa na waja wetu watenda mema"],
na ukisoma zaburi ya 37 inasema (nukuu isiyo rasmi) ["the earth will be inherited by the humble"].
Sasa hii hali ya kuzodoana, kunyoosheana vidole ya nini?, kwa nini tusitafute kujenga kwa kutumia njia nzuri, za mazungumzo, za kuheshimiana?.