Gamba la Nyoka
JF-Expert Member
- May 1, 2007
- 7,022
- 9,285
Adui ya Muislamu siyo Mkiristo ni Ibilisi, na adui ya mkiristo siyo Muislamu ni Ibilisi
Tukifahamu kwamba Ibilisi ndiyo baba ya Ufisadi, ubaguzi, uchoyo, dhulma, uwongouwongo basi sisi wana wa adamu tukaungana kwa pamoja kupambana na mambo haya bila shaka tutakuwa tunamdhoofisha Ibilisi na hatimaye kusimika misingi ya amani ya kweli, fanaka na furaha.
Mwenyezi Mungu ni mmoja na ni wetu sote, Askofu akikemea maovu yatupasa kuwaunga mkono, Mashehe wakikemea maovu yatupasa kuwaunga mkono.
Mwenyezi Mungu anasema katika Qur'an (nukuu isiyo rasmi) [" tuliandika katika Zaburi kwamba Hii Ardhi itarithiwa na waja wetu watenda mema"],
na ukisoma Zaburi ya 37 inasema (nukuu isiyo rasmi) ["The earth will be inherited by the humble"].
sasa hii hali ya kuzodoana, kunyoosheana vidole ya nini?, kwa nini tusitafute kujenga kwa kutumia njia nzuri, za mazungumzo, za kuheshimiana?.
Tukifahamu kwamba Ibilisi ndiyo baba ya Ufisadi, ubaguzi, uchoyo, dhulma, uwongouwongo basi sisi wana wa adamu tukaungana kwa pamoja kupambana na mambo haya bila shaka tutakuwa tunamdhoofisha Ibilisi na hatimaye kusimika misingi ya amani ya kweli, fanaka na furaha.
Mwenyezi Mungu ni mmoja na ni wetu sote, Askofu akikemea maovu yatupasa kuwaunga mkono, Mashehe wakikemea maovu yatupasa kuwaunga mkono.
Mwenyezi Mungu anasema katika Qur'an (nukuu isiyo rasmi) [" tuliandika katika Zaburi kwamba Hii Ardhi itarithiwa na waja wetu watenda mema"],
na ukisoma Zaburi ya 37 inasema (nukuu isiyo rasmi) ["The earth will be inherited by the humble"].
sasa hii hali ya kuzodoana, kunyoosheana vidole ya nini?, kwa nini tusitafute kujenga kwa kutumia njia nzuri, za mazungumzo, za kuheshimiana?.