Msolid extra
JF-Expert Member
- Sep 10, 2024
- 271
- 195
Hao ndo vijana tunaita Nguvu kazi ya Taifaššcheki mawazo yao sasaDaaah hadi nimecheka aise..oya wana eeh mambo kwa ground ni tofauti sana
Hao ndo vijana tunaita Nguvu kazi ya Taifaššcheki mawazo yao sasaDaaah hadi nimecheka aise..oya wana eeh mambo kwa ground ni tofauti sana
Kabisaaa kakaš¤Wavulana hao....mwanaume hawezi kusema hayo maneno kama ametokea familia ambayo Baba alikua hana kipato cha kueleweka
Sijaelewa mkuuBEjeti ya mwaka 2026/2027 Ishatoka na bungeni imekwisha wasilishwa fua viatu kanunue tranka
Uzi umeshaunganishwa .Sijaelewa mkuu
Aaah kweny bajeti wameorezesha au vpUzi umeshaunganishwa .
Nasemaje kama bajeti ya fedha ya mwaka imekwisha toka kwahyo kama zipo watatangaza.
Yeah bajeti ya ulinzi na usalama lzn ingawa haijaspecify itakuwa vip na nafasi zitakuwa vip na liniAaah kweny bajeti wameorezesha au vp
Inshort tukae mkao wakula muda wowote mambo tyrYeah bajeti ya ulinzi na usalama lzn ingawa haijaspecify itakuwa vip na nafasi zitakuwa vip na lini
Yeah tuzidishe maombiInshort tukae mkao wakula muda wowote mambo tyr
Amin allah(sw) tusaidieYeah tuzidishe maombi
Usiwe mbishi yani acha kabisa kuwa mbishi kwenye hili na kama unaendelea kubisha semaPandisha hiyo salary slip constable hana huu mshahara kwa mwaka huu!
Na wala sitaniiSgt 600k, š
Ndio maana mafao kiduchuHii ni mtu ana 680 ni ya SGT ana 10+ years kazini hiyo 400 ya constable ni ambaye hana miaka zaidi ya minne kazini
Bado tupo baba.Hivi Bado Kuna watu wanaitaka hii kazi ya laana?
Acha uongoo weweee hio mishahara lbda ni jeshi lakooHii ni mtu ana 680 ni ya SGT ana 10+ years kazini hiyo 400 ya constable ni ambaye hana miaka zaidi ya minne kazini
We tokea mwanzo uliona me nabishana hapa? Narudia tena hii 2026 hakuna constable mwenye elimu ya form 4 anaepokea 470k kma ulivyodai narudia tena hakuna!Usiwe mbishi yani acha kabisa kuwa mbishi kwenye hili na kama unaendelea kubisha sema
Bado unabisha nikuwekee na wa ACP ufe kabisaWe tokea mwanzo uliona me nabishana hapa? Narudia tena hii 2026 hakuna constable mwenye elimu ya form 4 anaepokea 470k kma ulivyodai narudia tena hakuna!
Mtupie taulo bossBado unabisha nikuwekee na wa ACP ufe kabisa