Unajua humu ndani nilichogundua wengi wenu ni wajuaji halafu hamna kitu mnajuaMshara wa constable chief hauzidi laki 4 na 70 au niweke salary slip ya mwaka huu?
- na hoja yangu ya msingi uliielewa, kwamba mko chini compared to bakabaka wako mbeleSikia mzee wewe jua hivyo na mimi acha nijue hivyo nimemaliza
Sasa hawa walinganishe na TPDF uone moto ukiwaka hapa sawa mkuu
Kwahio traffic sio polisii!??😂😂😂😂Ila polisi na walimu watabaki kuwa wafanyakazi wenye kipato kidogo sana hapa nchini.
Kidogo traffic tena kwenye majiji makubwa nao kunapesa bado inabidi wapeleke kwa wakubwa.
Labda Jeshi Lako ndo linalipaa hivyooo😂😂😂Mshara wa constable chief hauzidi laki 4 na 70 au niweke salary slip ya mwaka huu?
Mzee unapoteza muda mwingi sana humu kuelewesha hawa wajuajii waliokariri na kumezeshwa kwa stori za mtaani na hakuna wanachojuaaa...hebu achana naoo waendelee kukaa na ujinga waoooUnajua humu ndani nilichogundua wengi wenu ni wajuaji halafu hamna kitu mnajua
Haya nakuuliza wewe tuchukulie mfano juzi hapa kuna madogo wamemaliza kozi na maMD mule sasa unataka kusema kwamba MD wa Polisi analipwa salary scale ya mtu form four? Jibu ni hapana, kwanza unaujua mshahara wa constable mwenye professional ya Medical Doctor au Rubani!
Acheni kukariri wakuu halafu humu kila mtu akija anakuja data sizo kwani mnashida gani asee
Haya nakuuliza sasa huyu Constable aliyeanza na mshahara wa 1.6M+ mafao yake yatakuwa ni 30M kama unavyodai wewe hapo juu?
Haya constable kaingia labda na diploma ya afya analipwa 1.02M huyu mafao yake yatakuwa kama unavyodai wewe?
kwa hiyo acheni kuchanganya mambo ulizeni mueleweshwe
Nyie mnaidharau sana Polisi,,,mnasahau kwamba wao wana extra duty ambazo zinawaingizia pesa za nje ya mshahara.- na hoja yangu ya msingi uliielewa, kwamba mko chini compared to bakabaka wako mbele
-140k ,800k ni hela?Nyie mnaidharau sana Polisi,,,mnasahau kwamba wao wana extra duty ambazo zinawaingizia pesa za nje ya mshahara.
Mfano : Lindo Benki 20K per day unaingia wiki 1 siku7(140k) bakabaka muda huo yupo camp kwake tu haingizi kitu anasubiri mshahara
Polisi akiwa kwenye Mkoa Mzuri kama Geita,,Shinyanga,,Musoma,,Tarime kule kuna Migodi wanaingia Operations mule kufanya ulinzi(Mfano Geita pale GGM week2 unakunja 800K) sasa bakabaka wenu hizo extra hawana ndo wanapigwa bao Hapoo
- hayo machaka ni RushwaTEna polisi akiwa field force kwenye hio mikoa yenye migodi...Aisee wale wanaingiza pesa sana kwa maana operation za kufanya ni nyingii wanamachaka mengi ya extra ambayo wanapata pesa halali nje ya mshahara sio yule anaesubiri mshahara tuu pekee mwezi mzimaa lazimaa utaliaa tuu...si tunao wanetu hao baka mbona wanalia tuu 😂😂
😂😂😂😂Dogo hujui kituu aiseee swezi kukaa nijadili kitu na mtu sijui ni mtu kwelii au zombiee🚮🚮🚮- hayo machaka ni Rushwa
Kwenda kulinda Mgodini ni Rushwa!?kuingia operation kulinda mgodini ni Rushwa!?? You know nothing get away here man 🥶🥶- hayo machaka ni Rushwa
TOka mzee hamna kitu unajuaa 🚮🚮🚮-140k ,800k ni hela?
- unajua gape lililopo kati ya bakabaka na police?
-
Au sio ungekuwa una uchumi wa maana usingekuja kuandika na kusifia viposho vya laki8,laki140 nkKwenda kulinda Mgodini ni Rushwa!?kuingia operation kulinda mgodini ni Rushwa!?? You know nothing get away here man 🥶🥶
- usipaniki hakuna aliyekwambia uwe police,T
TOka mzee hamna kitu unajuaa 🚮🚮🚮
- unapigia kelele 140,k, 800k? 😀T
TOka mzee hamna kitu unajuaa 🚮🚮🚮
- unapigia kelele 140,k, 800k? 😀
Auu sioo....Haya😂😂😂😂- usipaniki hakuna aliyekwambia uwe police,
-