Nakfa
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 11,281
- 14,925
Tuwaachie mambo yao. Tubaki na ukulima wetuMtupie taulo boss
Tuwaachie mambo yao. Tubaki na ukulima wetuMtupie taulo boss
Sure man.Tuwaachie mambo yao. Tubaki na ukulima wetu
NimechekaBado unabisha nikuwekee na wa ACP ufe kabisa
Tuwaachie mambo yao. Tubaki na ukulima wetu
Weka mzee tuoneBado unabisha nikuwekee na wa ACP ufe kabisa
Mbona unaruka ruka weka salary slip ya constable ya 470k ya mwaka huu mzeeBado unabisha nikuwekee na wa ACP ufe kabisa
Umesema mda mrefu unaweka unaweka mbona huweki?Tuwaachie mambo yao. Tubaki na ukulima wetu
Huyu ali-type kujifurahisha, Hana na haweziWeka mzee tuone
Acheni kugombana wekeni ronja za polisi tunahamu na depo sisiHuyu ali-type kujifurahisha, Hana na hawezi
Hiyo slip aliyopandisha ya mwaka gani?Mbona unaruka ruka weka salary slip ya constable ya 470k ya mwaka huu mzee
Mzee upo jf 24 7Hiyo slip aliyopandisha ya mwaka gani?
Yeah sina kazi ya kufanya mzeeMzee upo jf 24 7
-Unaweza ukakuta ACP anazidiwa mshahara na ofisa anayeanza kazi wa traBado unabisha nikuwekee na wa ACP ufe kabisa
Aisee, cheo kikubwa mshahara mdogoBado unabisha nikuwekee na wa ACP ufe kabisa
Sio poa 😀😀kwahiyo wanetu mnatupanga kuwa police ni laana alf nyie mnapeana update huku? alooo nimeumia sana😔
mimi ni mgeni huku hiyo lonja ndo nini😂😂Sio poa 😀😀
Njoo upate lonja
Zipo zinakuja wakimaliza madogo waliopo depo na wanamaliza mwezi wa 5Acheni kugombana wekeni ronja za polisi tunahamu na depo sisi
Tunazisubir kwa hamu mungu awe upande wetuZipo zinakuja wakimaliza madogo waliopo depo na wanamaliza mwezi wa 5
Mzee vyombo vya ulinzi na usalama ni kujitoa mzee so maswala ya mishahara kushindanish unakuwa upumbavu-Unaweza ukakuta ACP anazidiwa mshahara na ofisa anayeanza kazi wa tra
Posho zao ni ndogo kutokana na pia mishahara yao ni midogo, kwa sababu posho zinakokotolewa kwa asilimia, hivyo kama mshahara ni mdogo na posho ndogo
- mfano ule mshahara alioweka posho ni 10%, 15% angekuwa na salary scale ya 5 angepata posho ya kwanza laki5, ya pili 750k, at least