Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Mzee mbona unatukana! Au unahisi wengine matusi hawawezi?

Narudia tena hiyo salary slip sio ya hivi karibuni au unahisi hizo slips hatuna?

Cha kwanza huna unachojua, cha pili umeweka slip ambayo haina baadhi ya allowance sasa unasemaje kwamba ni recent mimi nnaweza nkakutumia hapa slip kukuonesha tarehe tu tena ni ya mwezi huu, acha dharau mzee
  • kumbe mshahara wa nyota tatu ni 1.5m pesa ndogo sana hii yaani hadi kupata nyota tatu it takes years kumbe salary scale yenyewe 1.5m,
  • Ofisa wa Tarura anayeanza kazi anapata 2.2+ M anamzidi hadi SSP
 
Mzee mbona unatukana! Au unahisi wengine matusi hawawezi?

Narudia tena hiyo salary slip sio ya hivi karibuni au unahisi hizo slips hatuna?

Cha kwanza huna unachojua, cha pili umeweka slip ambayo haina baadhi ya allowance sasa unasemaje kwamba ni recent mimi nnaweza nkakutumia hapa slip kukuonesha tarehe tu tena ni ya mwezi huu, acha dharau mzee
Wewe matusi huniwezi yani hunikuti kwenye level ya akili niko mbali sana na wewe

Huu ni mshahara wa SGT anaopeleka nyumbani sasa kama una akili na sio mavimavi tuambie kupitia hii PAYE inayoonekana hapo Basic yake itakuwa sh ngapi i can't disclose any more information

Tunaposema kuweni wafanyabiashara au wanasiasa tunamaanisha haya

Akili huna wewe
 
Wewe matusi huniwezi yani hunikuti kwenye level ya akili niko mbali sana na wewe

Huu ni mshahara wa SGT anaopeleka nyumbani sasa kama una akili na sio mavimavi tuambie kupitia hii PAYE inayoonekana hapo Basic yake itakuwa sh ngapi i can't disclose any more information

Tunaposema kuweni wafanyabiashara au wanasiasa tunamaanisha haya

Akili huna wewe
Dah watu wataghairi maombi yao mkuu😀😀
 
Wewe matusi huniwezi yani hunikuti kwenye level ya akili niko mbali sana na wewe

Huu ni mshahara wa SGT anaopeleka nyumbani sasa kama una akili na sio mavimavi tuambie kupitia hii PAYE inayoonekana hapo Basic yake itakuwa sh ngapi i can't disclose any more information

Tunaposema kuweni wafanyabiashara au wanasiasa tunamaanisha haya

Akili huna wewe
Hahaha! Nimecheka asee

Hiyo salary slip ni wapi unaweza kuthibitisha kuwa ni ya polisi?

Halafu na kama ni ya Polisi kuna sgt anayechukua mshahara basic wa kiwango hicho pasipo sababu yoyote ile jibu ni hakuna, sasa unataka kusema nini hapa

Halafu unaleta slip za 2025 wakati huu ni mwaka 2026 nimekwambia kabisa leta slip recent
Hii slip hapa chini ni recent kabisa na ukitaka kuthibitisha kama inatoka huko soma juu kabisa na chini tarehe sasa hii kukuonesha tu kwamba vitu unavyovisema hapa kuhusu mishahara ni tofauti kabisa
 

Attachments

  • Screenshot_20260426_061013_Drive.jpg
    Screenshot_20260426_061013_Drive.jpg
    92.9 KB · Views: 20
Hahaha! Nimecheka asee

Hiyo salary slip ni wapi unaweza kuthibitisha kuwa ni ya polisi?

Halafu na kama ni ya Polisi kuna sgt anayechukua mshahara basic wa kiwango hicho pasipo sababu yoyote ile jibu ni hakuna, sasa unataka kusema nini hapa

Halafu unaleta slip za 2025 wakati huu ni mwaka 2026 nimekwambia kabisa leta slip recent
Hii slip hapa chini ni recent kabisa na ukitaka kuthibitisha kama inatoka huko soma juu kabisa na chini tarehe sasa hii kukuonesha tu kwamba vitu unavyovisema hapa kuhusu mishahara ni tofauti kabisa
-hiyo salary slip ungeiacha tuone figure ndio ndio tungecheka zaidi
- nikivyoona mshahara wa asp ni 1.5m nikachoka sana.
 
Nyie ndio service mliacha kazi za PT kisa mnasubir bakabaka mwisho wa siku chali. Mishahara haipishani sana.
 
Nyie ndio service mliacha kazi za PT kisa mnasubir bakabaka mwisho wa siku chali. Mishahara haipishani sana.
  • nani kakudanganya mishahara haipishani sana kati ya bakabaka na PT?
  • malipo ya PT mwenye nyota3 na malipo ya bakabaka mwenye nyota3,kuna gape kubwa sana usidanganywe
 
-Mafao ya asp hayafikii hata robo ya mafao captain .
Dah wadau bhana...
HAyo mambo ya kuwaza kustaafu yalikua zamani siku hizi wengi hawawazi kama watastaafu kwenye ajira hizo...
Uhuru wa kifedha upo kwenye harakati za biashara tu ...huko kwenye ajira tunasogeza maisha tu
 
Back
Top Bottom