Iko wapi mbona haionekani?Hiyo slip aliyopandisha ya mwaka gani?
Imefutwa hiyo slipIko wapi mbona haionekani?
Anhaa kumbe ilifutwa! Ila nataka niseme kitu hapa huo mshahara hapokei constable!Imefutwa hiyo slip
Ila inaonesha mshahara ni 478k, posho ni 47800/-, posho 71700/- (sijui ni posho za nini)
-😅😅
- ngoja tusubiri majibu ya Nakfa kwenye hili, ila Mimi naamini ni around 470-500k not that muchAnhaa kumbe ilifutwa! Ila nataka niseme kitu hapa huo mshahara hapokei constable!
Hiyo salary slip sio ya recent, hiyo ni ya nyuma, constable alishatoka kwenye huo mshahara Mkuu!
Alipandisha Slip kaiondoa mkuuIko wapi mbona haionekani?
Ni zaidi ya hii mkuu amini nachokwambia- ngoja tusubiri majibu ya Nakfa kwenye hili, ila Mimi naamini ni around 470-500k not that much
Imefika 700k?Ni zaidi ya hii mkuu amini nachokwambia
Hoyo scale aliyoiweka ni ya kitambo na haipoAlipandisha Slip kaiondoa mkuu
Nimehisi hivyo maana hata mwalimu wa certificate ndio scale zake hizoHoyo scale aliyoiweka ni ya kitambo na haipo
Ukizitoa ration ambayo ni 300k na ya vinywaji ambayo ni 100k inafika mkuuImefika 700k?
-Aah so ni more than 900kUkizitoa ration ambayo ni 300k na ya vinywaji ambayo ni 100k inafika mkuu
Wewe ni mjinga tena PUMBAVU kabisa, hiyo ni salary slip ya mwezi March mwaka huu PELEKA UPUNGUANI HUKOAnhaa kumbe ilifutwa! Ila nataka niseme kitu hapa huo mshahara hapokei constable!
Hiyo salary slip sio ya recent, hiyo ni ya nyuma, constable alishatoka kwenye huo mshahara Mkuu!
Unasemaje weweHilo Jeshi la konstebo kulipwa 470k ni la wapii!?? Mbona mnadanyana sanaa humuu!??jf mitaa ya wajuajiii kama kawaida nilisahauu😀😂😂
Kumbe mlitaka nifanye exposure ya taarifa binafsi za mtu?Nimehisi hivyo maana hata mwalimu wa certificate ndio scale zake hizo
Hujaona nilivyosemaa auu😂😂😂Unasemaje wewe
😂😂😂 Kumbe ni salary slip ya march aisee, na umempa tusi la Ujinga na upunguaniWewe ni mjinga tena PUMBAVU kabisa, hiyo ni salary slip ya mwezi March mwaka huu PELEKA UPUNGUANI HUKO
Mzee mbona unatukana! Au unahisi wengine matusi hawawezi?Wewe ni mjinga tena PUMBAVU kabisa, hiyo ni salary slip ya mwezi March mwaka huu PELEKA UPUNGUANI HUKO