Msolid extra
JF-Expert Member
- Sep 10, 2024
- 271
- 195
Siwezi kubishana na nisiemjuaa huenda nabishana na zombi hapaa kaweka bando la jero anakuja kusumbuaa watuu...batawahed😜😜😜I'm out,,mwanaume anaekaa kubishania mishahara na perdiem za watu na ye ukute hajawahi hata kulambaa..hivi huo muda wa kufatilia mishahara,,perdiem za watu we kma mwanaume unautoa wapii😂😂😂na busy kunanga mitandaonii😀alafu unajiona uko sawaa😂😂🚮🚮- unapigia kelele 140,k, 800k? 😀