pamoja Santa
JF-Expert Member
- Jan 6, 2019
- 1,229
- 1,687
Huna hulijualo mkuu tatizo lako ni kutaka kufananisha taasisi za kiraia na za kijeshi hapo ndo unapotea hiki kitu acha kabisa hawa vitu wanavyovipata ni tofauti kabisa na wanavyovipata taasisi za kiraia- muongozo wa perdiem ni flat rate except kwa mashirika ya umma the rest ni normal rates
-Kama mpaka Leo laki4 unaiona ni pesa ya maana basi kipato chako ni cha chini mno, wenzio wanachukua posho hadi 4m na ni Jr officers tu kwenye mashirika ya umma
Umeishiwa hoja nini mkuu, kuna mahala nimesema kuwa hiyo laki nne ni kubwa au ndogo au nimekuuliza kuwa na wao wanaipata au hawaipati inaonekana we utakuwa mzee wa kupenda ligi sana hata kama vitu havihitaji ligi mkuu
Me nimekuuliza je wanaipata ila kuhalalisha hoja yako sasa kama hawaipati unapataje nguvu ya kutaka kuhalalisha hoja yako kuwa wanatumia scale sawa