Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Nidanganye umati ili nitafute nini na kwanini nifanye hivyo?

Nimekwambia tokea mwanzo huu upande hujui kitu ila bado king'ang'anizi na nkwambia kabisa kama hujui ni bora kuuliza kuliko kujidhalilisha kama hivi, unashangaa Sgt kupokea hiyo sasa hao maOfsa uliokuwa unawasema wanakunja ngapi!

Wewe kinacho kuharibia ni either ulikaririshwa mda sana Enzi hizo kwa hiyo hadi leo unatembea na zile figure au ni ubishi tu wa kutoamini kila kitu chenye ukweli kuhusu maPolisi
-huo upande naujua vizuri, kwa sababu Nina Access yakuona perdiem za sehemu nyingi sana, nyingine ni siri siwezi kuzitaja
-basi tuseme sgt anapata perdiem 500k kwa siku umeridhika?
 
Endelea ku-edit hivyo hivyo mpaka tutaelewana tu
- na wewe mwenyewe kumbe mbumbumbu nakupeleka unaenda unaogopa kuchanganua hoja
-Salary scale ya SP hamfikii jrofisa wa Bakabaka, Wala hamfikii ofisa Jr wa tra, unajua kuwa ofisa Jr wa tra analipwa salary scale kubwa kuliko ACP?
-angalia mafao wanayolipwa police unakuta ACP anachukua mafao 80m+ na kafanya kazi miaka zaidi ya 30, unajua kwa nini? Kwa sababu salary scale ni ndogo.
-kama una ujasiri taja salary scale ya SP hapa ndio watu watashangaa na watakubali ninachoandika
-
 
Yani mtu humjui na hujui pia anafanya shughuli gani unaanza kumpimia kipato chake mhh! Ni mjinga tu anayeweza kufanya kitu kama unachofanya wewe na mwanzo nkajua unajitambua kumbe mhh!

Sasa nini hiki umeandika au kuna sehemu tulishawahi kuonana maana inawezekana unanifahamu kwa mujibu wa maelezo yako
  • acha uoga wewe, kwenye majibu yako mwenyewe umejitapa kuwa upande huo mimi sijui kitu wewe ndiye mwenye kujua,sasa umejuaje? Wewe ni askari,kama sio askari basi mke wako/mume wako ni askari
  • Police hauko katika taasisi zenye mishahara minono Tanzania hii, nenda kapitie ule Uzi wa mishahara minono taasisi zilizotajwa polisi haipo hata katika 20 bora
 
Watu mnakaa busy kubishania mishahara na perdiem za watu!??daaah hebu leteni hoja za kueleweka humu!! Sasa ukisema mara JW,,TRA,,PPRA wana mishahara minono Kwahyo kila mtu akafanyie kazi huko sasa,,huku kwingine afanye Nani!? Na mwisho wa siku pesa hata ulipwe nyingi kiasi gani kama huna akili ya kujiongeza na kuizalisha ili ikunufaishe utaishia kuwa hamna lolote tuu....
 
  • acha uoga wewe, kwenye majibu yako mwenyewe umejitapa kuwa upande huo mimi sijui kitu wewe ndiye mwenye kujua,sasa umejuaje? Wewe ni askari,kama sio askari basi mke wako/mume wako ni askari
  • Police hauko katika taasisi zenye mishahara minono Tanzania hii, nenda kapitie ule Uzi wa mishahara minono taasisi zilizotajwa polisi haipo hata katika 20 bora
We usituchoshe na kupromote hizo taasisi za mishahara minono....kama we unaitaka si ukafanye kazi huko ule hizo pesa usitupigie kelele sisii
 
Watu mnakaa busy kubishania mishahara na perdiem za watu!??daaah hebu leteni hoja za kueleweka humu!! Sasa ukisema mara JW,,TRA,,PPRA wana mishahara minono Kwahyo kila mtu akafanyie kazi huko sasa,,huku kwingine afanye Nani!? Na mwisho wa siku pesa hata ulipwe nyingi kiasi gani kama huna akili ya kujiongeza na kuizalisha ili ikunufaishe utaishia kuwa hamna lolote tuu....
Safi sana , ndio maana pamoja Santa alisema kuna watu wanalipwa mamilioni lkn wamechakaa kuliko wanaolipa malaki
 
  • acha uoga wewe, kwenye majibu yako mwenyewe umejitapa kuwa upande huo mimi sijui kitu wewe ndiye mwenye kujua,sasa umejuaje? Wewe ni askari,kama sio askari basi mke wako/mume wako ni askari
  • Police hauko katika taasisi zenye mishahara minono Tanzania hii, nenda kapitie ule Uzi wa mishahara minono taasisi zilizotajwa polisi haipo hata katika 20 bora
Polisi wanna access na hela siku zote za mwezi mzima kupitia zile "ndogo ndogo za brush" hao jamaa wana hela ni vile tu sio watunzaji wa hela na wana matumizi mabaya. Mishahara Yao midogo ila kwenye mishemishe wanapiga nyingi sana. Hakuna afisa wa jeshi anamfikia trafiki kwa kuingiza hela kwa siku. Sio rasmi lakin nani anajali?
Trafiki wanapiga hela na kawaida kuondoka hata na laki+ kwa siku .
 
Polisi wanna access na hela siku zote za mwezi mzima kupitia zile "ndogo ndogo za brush" hao jamaa wana hela ni vile tu sio watunzaji wa hela na wana matumizi mabaya. Mishahara Yao midogo ila kwenye mishemishe wanapiga nyingi sana. Hakuna afisa wa jeshi anamfikia trafiki kwa kuingiza hela kwa siku. Sio rasmi lakin nani anajali?
Trafiki wanapiga hela na kawaida kuondoka hata na laki+ kwa siku .
Na hili ndo wengi hawalijuii....Mishahara yao iko kawaida ila kwa upande wa deals za pembeni ndo wanavuta mkwanja iwe halali au sio halali
 
Ajira ngumu sana miaka hii, watoto wangu wasipokuja kurithi Kaz zangu za kilimo- biashara mana ni wa kike... basi ntakuja kuwatafutia upolisi wote wawili. Huko mbeleni Hawa wajinga(mapot) watakuja kuwa vzuri tu😃
Hizo za mishahara mukubwa sana hazpatikani bila kujuana na washika dau.
 
Ajira ngumu sana miaka hii, watoto wangu wasipokuja kurithi Kaz zangu za kilimo- biashara mana ni wa kike... basi ntakuja kuwatafutia upolisi wote wawili. Huko mbeleni Hawa wajinga(mapot) watakuja kuwa vzuri tu😃
Hizo za mishahara mukubwa sana hazpatikani bila kujuana na washika dau.
Majeshini uzuri ukiotea ajira haina kona nyingi swala ni connection tu chap ukienda kozi umeulamba...kule portal unapiga interview leo kazini unaitwa mwez wa 12😀
 
watu hao wanapepea, dah!
1776334459888.jpg
 
Polisi wanna access na hela siku zote za mwezi mzima kupitia zile "ndogo ndogo za brush" hao jamaa wana hela ni vile tu sio watunzaji wa hela na wana matumizi mabaya. Mishahara Yao midogo ila kwenye mishemishe wanapiga nyingi sana. Hakuna afisa wa jeshi anamfikia trafiki kwa kuingiza hela kwa siku. Sio rasmi lakin nani anajali?
Trafiki wanapiga hela na kawaida kuondoka hata na laki+ kwa siku .
Laki kwa siku kwa mwezi Wala sio hela nyingi ni 3M
 
Mimi ni individual land consultant silipwi mshahara nalipwa service fee
Haya endelea na kazi yako...watu wote duniani hawawezi kua land consultant kama unalipwa 5M then enjoy it and let others enjoy their 500k,,700k,,800k,,and etc.
 
Back
Top Bottom