Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Nisahihi kuna kamanda mmoja alishalalamika kuhusu mishahara midogo ambayo wanapokea polisi video yake ilisambaa sana . Akasema kwamba nikama wanalaana maana pesa anayopokea afisa mdogo tu halmashauri anamzidi mbali sana askari mwenye cheo kikubwa tu mwenye uzoefu zaidi ya miaka

Nisahihi kuna kamanda mmoja alishalalamika kuhusu mishahara midogo ambayo wanapokea polisi video yake ilisambaa sana . Akasema kwamba nikama wanalaana maana pesa anayopokea afisa mdogo tu halmashauri anamzidi mbali sana askari mwenye cheo kikubwa tu mwenye uzoefu zaidi ya miaka 10
Mkuu naikumbuka hiyo video ila na wewe wewe ukaichukua kama ulivyo?

Halmashauri Hawa hawa?
Basi twende mdogo mdogo kuna maswali nataka nkuulize! Yule Poti nakumbuka alikuwa ni Sgt wa Polisi na elimu yake tuseme ni form 4 sasa nakuuliza halmashauri wanaajiri mtu mwenye elimu ya form 4?
Na kama ni hamna basi huyo wa halmashauri unatakiwa umtafute angalau Polisi mwenye diploma, degree na kuendelea huko ili wawe sawa, sasa wakiwa sawa kielimu unadhani nani atatoboa hapo?
 
Umeona sasa ulivyo hujui vitu na nimekwambia hapa wewe mzee huku majeshi hujui kitu ni bora uulize uambiwe

Kuna maConstable wanakula mshahara wa 1.5M na ni nje ya posho zake zote na huyo kaanza leo kazi
-Acha kudanganya watu hakuna constable formiv analipwa huo mshahara, labda awe na degree kwenda juu
- hiyo ni range ni mshahara wa a/inspector
 
Perdiem ya sgt and other NCOS ni laki1 kwa siku and not above
Unaona sasa huna unachojua ndo maana me nakwambia we bado sana! Constable na corporal perdiem ni sawa ambayo ni laki1 kwa siku ila Sgt ni zaidi ya hapo ambayo ni laki na nusu na Kadri cheo kinavyopanda na perdiem ndo inazidi kuwa kubwa sasa nyie shida yenu mmekaririshwa na mashemeji zenu

Mzee yani unajua mpaka najishangaa kwanini nabishana na wewe anyway nipo ukingoni kukuacha ubishane mwenywe
 
Unaona sasa huna unachojua ndo maana me nakwambia we bado sana! Constable na corporal perdiem ni sawa ambayo ni laki1 kwa siku ila Sgt ni zaidi ya hapo ambayo ni laki na nusu na Kadri cheo kinavyopanda na perdiem ndo inazidi kuwa kubwa sasa nyie shida yenu mmekaririshwa na mashemeji zenu

Mzee yani unajua mpaka najishangaa kwanini nabishana na wewe anyway nipo ukingoni kukuacha ubishane mwenywe
  • Acha kudanganya watu, Mimi najua perdiem za sehemu nyingi sana kwenye govt ndio maana nikakutajia hadi za ppra,tra
  • non officers ni laki1 acha kudanganya watu
 
Umeona sasa ulivyo hujui vitu na nimekwambia hapa wewe mzee huku majeshi hujui kitu ni bora uulize uambiwe

Kuna maConstable wanakula mshahara wa 1.5M na ni nje ya posho zake zote na huyo kaanza leo kazi
- hakuna constable asiye na degree analipwa mshahara wa 1.5m, kama constable formiv analipwa 1.5 m basi s.inspector atalipwa 3m as mshahara kitu ambacho haiwezekani labda kwa bakabaka
-
 
Mkuu naikumbuka hiyo video ila na wewe wewe ukaichukua kama ulivyo?

Halmashauri Hawa hawa?
Basi twende mdogo mdogo kuna maswali nataka nkuulize! Yule Poti nakumbuka alikuwa ni Sgt wa Polisi na elimu yake tuseme ni form 4 sasa nakuuliza halmashauri wanaajiri mtu mwenye elimu ya form 4?
Na kama ni hamna basi huyo wa halmashauri unatakiwa umtafute angalau Polisi mwenye diploma, degree na kuendelea huko ili wawe sawa, sasa wakiwa sawa kielimu unadhani nani atatoboa hapo?
Yule Mzee aliingia Polisi miaka ya 90 ambapo kwa kipindi hicho formiv walikuwa wanaajirwa.
 
1776250010114.jpg
1776250012483.jpg
1776250015095.jpg
 
  • Acha kudanganya watu, Mimi najua perdiem za sehemu nyingi sana kwenye govt ndio maana nikakutajia hadi za ppra,tra
  • non officers ni laki1 acha kudanganya watu
Nidanganye umati ili nitafute nini na kwanini nifanye hivyo?

Nimekwambia tokea mwanzo huu upande hujui kitu ila bado king'ang'anizi na nkwambia kabisa kama hujui ni bora kuuliza kuliko kujidhalilisha kama hivi, unashangaa Sgt kupokea hiyo sasa hao maOfsa uliokuwa unawasema wanakunja ngapi!

Wewe kinacho kuharibia ni either ulikaririshwa mda sana Enzi hizo kwa hiyo hadi leo unatembea na zile figure au ni ubishi tu wa kutoamini kila kitu chenye ukweli kuhusu maPolisi
 
- umeumia ulivyoona mshahara wako na posho havinunui iphone 17 😅😅
Yani mtu humjui na hujui pia anafanya shughuli gani unaanza kumpimia kipato chake mhh! Ni mjinga tu anayeweza kufanya kitu kama unachofanya wewe na mwanzo nkajua unajitambua kumbe mhh!

Sasa nini hiki umeandika au kuna sehemu tulishawahi kuonana maana inawezekana unanifahamu kwa mujibu wa maelezo yako
 
Back
Top Bottom