pamoja Santa
JF-Expert Member
- Jan 6, 2019
- 1,229
- 1,687
Hiyo unayoongelea wewe ni wazee wa kizamani ambao walikuwa wakiamini katika kufanya starehe na hichi kitu kilikuepo kwenye majeshi yote sasa hivi vijana wanafanya mapinduzi wanajenga na kununua usafiri bila shida yoyote.
Mimi nimeishi na nkakulia Kota za TPDF nimeona wazee wengi wakikaribia kustaafu wanajengewa nyumba kwa lazima kupitia mishahara yao na Jeshi sasa hapo utasema nini.
Kwahiyo ukija kwenye mentality majeshi yote huwa yanafanana zama zimebadilika na kile kizazi cha starehe kinamalizika kwenye majeshi na vijana wapo kwenye hatamu na wanajitahidi kwenye kufanya vitu vya msingi
Mimi nimeishi na nkakulia Kota za TPDF nimeona wazee wengi wakikaribia kustaafu wanajengewa nyumba kwa lazima kupitia mishahara yao na Jeshi sasa hapo utasema nini.
Kwahiyo ukija kwenye mentality majeshi yote huwa yanafanana zama zimebadilika na kile kizazi cha starehe kinamalizika kwenye majeshi na vijana wapo kwenye hatamu na wanajitahidi kwenye kufanya vitu vya msingi
Nazungumzia general tu ni kama ilivyo kwa waalimu kuna sector hapa nchini zinajulikana kwa vipato vidogo sana mfano waalimu na askari ukitoa TPDF na sio kwamba ni kosa ni mifumo ya nchi ndio ilivyo