Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

-huo upande naujua vizuri, kwa sababu Nina Access yakuona perdiem za sehemu nyingi sana, nyingine ni siri siwezi kuzitaja
-basi tuseme sgt anapata perdiem 500k kwa siku umeridhika?
Sasa kama una access ya kuona hizo perdiem za sehemu nyingi mbona unadanganya hapa, nimekuuliza tu ya Sgt hujui unataka nikueleweje?

Narudia tena usijifanye mjuaji uliza bro kuliko kujifanya mjuaji halafu hujui, eti officers ni laki na nusu na kwa non officers ni laki moja huu ujinga wapelekee machizi
 
- na wewe mwenyewe kumbe mbumbumbu nakupeleka unaenda unaogopa kuchanganua hoja
-Salary scale ya SP hamfikii jrofisa wa Bakabaka, Wala hamfikii ofisa Jr wa tra, unajua kuwa ofisa Jr wa tra analipwa salary scale kubwa kuliko ACP?
-angalia mafao wanayolipwa police unakuta ACP anachukua mafao 80m+ na kafanya kazi miaka zaidi ya 30, unajua kwa nini? Kwa sababu salary scale ni ndogo.
-kama una ujasiri taja salary scale ya SP hapa ndio watu watashangaa na watakubali ninachoandika
-
Inawezekana kweli anazidiwa na huyo ofisa wa tra lakini nakwambia hakuna SP sijui wa Zimamoto,Magereza,Uhamiaji na Polisi anaelipwa 1.5M na hata kabla ya ongezeko la juzi walikuwa hawalipwi hivyo, wewe shida yako unaokoteza taarifa

Ungeaza kuuliza kwamba SP analipwa ngapi watu tungekujibu kama kuna ulazima lakini kwa kuwa umekuja moja kwa moja kwamba wanalipwa kiasi flani basi na sisi ngoja tukae kimya
 
Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania pamoja Santa pitia huu Uzi uone kama police au jeshi lolote la mambo ya ndani liko kwenye orodha,sana sana ni bakabaka/batiki ndio wameingia kwenye orodha
We kweli kiazi yani taasisi zinazolipa vizuri na TPDF imo? Unajua mishahara minono kweli wewe?

Hahaha! Unachekesha mkuu sema sipendi kuongelea haya mambo lakini kwenye hii nchi kuna watu ukiona salary slip zao hahaha!

Mshahara ni wa kawaida sana mzee atleast maofsa
 
Inawezekana kweli anazidiwa na huyo ofisa wa tra lakini nakwambia hakuna SP sijui wa Zimamoto,Magereza,Uhamiaji na Polisi anaelipwa 1.5M na hata kabla ya ongezeko la juzi walikuwa hawalipwi hivyo, wewe shida yako unaokoteza taarifa

Ungeaza kuuliza kwamba SP analipwa ngapi watu tungekujibu kama kuna ulazima lakini kwa kuwa umekuja moja kwa moja kwamba wanalipwa kiasi flani basi na sisi ngoja tukae kimya
-Unataka tuseme sp analipwa 10m ili ufurahi sio?Lazima ukae kimya kwa sababu hamjaingia kwenye orodha ya taasisi zenye ' mishahara minono '
- sasa kama jr ofisa analipwa kuliko sr officer wa mambo ya ndani hiyo taasisi maana yake iko chini.
 
Sasa kama una access ya kuona hizo perdiem za sehemu nyingi mbona unadanganya hapa, nimekuuliza tu ya Sgt hujui unataka nikueleweje?

Narudia tena usijifanye mjuaji uliza bro kuliko kujifanya mjuaji halafu hujui, eti officers ni laki na nusu na kwa non officers ni laki moja huu ujinga wapelekee machizi
  • Nina Access ya kuona na ndio maana nimetaja za sehemu tofauti tofuati wakati wewe hujui
  • officers ni 150k acha kudanganya watu, wanalipwa scale sawa na za local gvt officers,ukipanda sr officer inaongezeka kidogo,ukiwa principal officer inapanda zaidi
 
We kweli kiazi yani taasisi zinazolipa vizuri na TPDF imo? Unajua mishahara minono kweli wewe?

Hahaha! Unachekesha mkuu sema sipendi kuongelea haya mambo lakini kwenye hii nchi kuna watu ukiona salary slip zao hahaha!

Mshahara ni wa kawaida sana mzee atleast maofsa
  • Kama bakabaka haipo kwenye taasisi zenye mishahara minono,utakuwa hufikirii vizuri,
  • linganisha mafao ya captain na asp (ambao wote ni nyota tatu), utapata jibu
-
 
Polisi wanna access na hela siku zote za mwezi mzima kupitia zile "ndogo ndogo za brush" hao jamaa wana hela ni vile tu sio watunzaji wa hela na wana matumizi mabaya. Mishahara Yao midogo ila kwenye mishemishe wanapiga nyingi sana. Hakuna afisa wa jeshi anamfikia trafiki kwa kuingiza hela kwa siku. Sio rasmi lakin nani anajali?
Trafiki wanapiga hela na kawaida kuondoka hata na laki+ kwa siku .
Ukiacha hizo ambazo sio rasmi mkuu pesa zote zinazosafirishwa bongo Polisi anahusika yani kutoka BOT kwenda mikoa isiyokuwa na benki kuu, na kutoka mikoa hiyo kuja BOT, hapa kwa siku ni pesa isyopungua laki 5 na unakuta wanatumia siku zaidi ya 3 na kama safari ni fupi huwa ndo kama siku moja.

Kuna vifurushi vya serikali yani nyaraka za siri pia Polisi anahusika napo ni pesa tena sio ya kitoto na ni kila siku

Mara sijui kusambaza pesa kwenye ATM machine hii ni pesa ya kawaida lakini ni kila siku

Haya kuna malindo sijui mabenki hiyo poa pesa

Kuna ulinzi wa viongozi, kuna mtu analindwa kutoka sehemu moja hadi nyingine Polisi anakunja mia3 na hii hata kama kwenye mkoa kaenda sehemu kumi Polisi atakunja 3M

Ulinzi wa sehemu nyeti za serikali hii pia pesa tena nzuri tu

Migodini humo napo usiseme pia pesa hiyo na hii ni baadhi tu maana ni nyingi mno maPolisi yanapiga hela kinoma sema tu akili zao ni starehe ukiondoa vijana ambao sasa hivi wameanza kufanya mapinduzi
 
-Unataka tuseme sp analipwa 10m ili ufurahi sio?Lazima ukae kimya kwa sababu hamjaingia kwenye orodha ya taasisi zenye ' mishahara minono '
- sasa kama jr ofisa analipwa kuliko sr officer wa mambo ya ndani hiyo taasisi maana yake iko chini.
Haha lengo lako unataka niseme exactly kuwa analipwa ngapi umechemsha mkuu we jua halipwi hiyo pesa na kabla ya ongezeko hakuwa nalipwa hiyo hela
 
Haha lengo lako unataka niseme exactly kuwa analipwa ngapi umechemsha mkuu we jua halipwi hiyo pesa na kabla ya ongezeko hakuwa nalipwa hiyo hela
  • Mimi sisubiri wewe ujibu Ndio ujibu,Mimi nimeshatoa majibu tayari,
  • Ni aibu mtu kafanya kazi 10+ tena ofisa Salary kiduchu
  • Mimi ninachofanya ni comparative analysis ya taasisi mbalimbali,ambapo mambo ya ndani haipo hata kwenye 20 bora
 
  • Nina Access ya kuona na ndio maana nimetaja za sehemu tofauti tofuati wakati wewe hujui
  • officers ni 150k acha kudanganya watu, wanalipwa scale sawa na za local gvt officers,ukipanda sr officer inaongezeka kidogo,ukiwa principal officer inapanda zaidi
Kitu ambacho hukijui ni kuwa sasa hivi majeshi haya yamepitia maboresho makubwa kwa endelea kusema officers ni 150k, RSM mwenyewe hachukui hicho kiasi halafu ije kwa officer hahaha we jamaa!

Constable mpaka corporal ni 100k
Sgt ni 150k kama hutaki pita hivi mambo ya kunambia sijui nna access ya kuona salary slip za taasisi nyingi halafu unakuja kusema hapa uongo.

Unasema wanatumia scale za local gvt sasa nakuuliza huko local gvt kuna posho ya chakula na vinywaji? Kama ni hawana basi usilazimishe wafanane
 
  • Kama bakabaka haipo kwenye taasisi zenye mishahara minono,utakuwa hufikirii vizuri,
  • linganisha mafao ya captain na asp (ambao wote ni nyota tatu), utapata jibu
-
Nasemaje bakabaka ulinganishe na manesi sijui waalimu na wengiwao wa hiyo hadhi kweli hapo TPDF wanajitahidi lakini chukua TPDF linganisha labda na TPDC haha mzee acha kabisa
 
Kitu ambacho hukijui ni kuwa sasa hivi majeshi haya yamepitia maboresho makubwa kwa endelea kusema officers ni 150k, RSM mwenyewe hachukui hicho kiasi halafu ije kwa officer hahaha we jamaa!

Constable mpaka corporal ni 100k
Sgt ni 150k kama hutaki pita hivi mambo ya kunambia sijui nna access ya kuona salary slip za taasisi nyingi halafu unakuja kusema hapa uongo.

Unasema wanatumia scale za local gvt sasa nakuuliza huko local gvt kuna posho ya chakula na vinywaji? Kama ni hawana basi usilazimishe wafanane
-hata Kama kuna maboresho, serikali ilitangaza kuongezeka kwa perdiem tafuta waraka huo
- sehemu zenye tofauti ya perdiem ni mashirika ya umma tu ambapo wao Wana special rates huku kwingine kuanzia police, local gvt etc ni sawa kwa wote
-Hiyo posho ya chakula, vinywaji ni hela ndogo sana wala hupaswi kuipigia kelele,ni pesa mbuzi, inaonekana hujaijua pesa laki1,sijui laki3 unaiona hela, ni hiyo ni kwa sababu taasisi yako haina mshahara wa maana,
 
  • Mimi sisubiri wewe ujibu Ndio ujibu,Mimi nimeshatoa majibu tayari,
  • Ni aibu mtu kafanya kazi 10+ tena ofisa Salary kiduchu
  • Mimi ninachofanya ni comparative analysis ya taasisi mbalimbali,ambapo mambo ya ndani haipo hata kwenye 20 bora
Inakuuma maPolisi kuwazidi jamaa perdiem haha! Hao macomissioner Akina Awadhi ukiambia perdiem zao siutakimbia jukwaa mkuu

Mara ya mwisho kuiona perdiem ya Sgt ni mwaka Jana mwezi saba ni 150k
 
Inakuuma maPolisi kuwazidi jamaa perdiem haha! Hao macomissioner Akina Awadhi ukiambia perdiem zao siutakimbia jukwaa mkuu

Mara ya mwisho kuiona perdiem ya Sgt ni mwaka Jana mwezi saba ni 150k
  • sasa perdiem ya Kamishna inalingana na senior officer wa Bakabaka?
  • perdiem ya Kamishna inalingana na perdiem za makamishna wa tra?
 
Nasemaje bakabaka ulinganishe na manesi sijui waalimu na wengiwao wa hiyo hadhi kweli hapo TPDF wanajitahidi lakini chukua TPDF linganisha labda na TPDC haha mzee acha kabisa
Usichojua kuhusu tpdc ni kwamba kuna safari za nje ya nchi nyingi na sio mshahara, mshahara wao ni wa kawaida sana japo sio mdogo kama wa police
 
-hata Kama kuna maboresho, serikali ilitangaza kuongezeka kwa perdiem tafuta waraka huo
- sehemu zenye tofauti ya perdiem ni mashirika ya umma tu ambapo wao Wana special rates huku kwingine kuanzia police, local gvt etc ni sawa kwa wote
-Hiyo posho ya chakula, vinywaji ni hela ndogo sana wala hupaswi kuipigia kelele,ni pesa mbuzi, inaonekana hujaijua pesa laki1,sijui laki3 unaiona hela, ni hiyo ni kwa sababu taasisi yako haina mshahara wa maana,
Sasa kama kama local gvt hawana hiyo pesa unayosema laki4 kwanini unataka ulinganishe na perdiem hujui kwamba hawa ni watu wawili tofauti

Kwanza acha kulinganisha local gvt na taasisi za kijeshi ni watu wawili tofauti kabisa kuanzia mishahara kila kitu hawafanani kwa hiyo hichi kitu acha utakuwa unachekesha sana
 
Usichojua kuhusu tpdc ni kwamba kuna safari za nje ya nchi nyingi na sio mshahara, mshahara wao ni wa kawaida sana japo sio mdogo kama wa police
Acha kuliweka Jeshi la Wananchi kuwa lipo miongoni mwa taasisi zinazolipa vizuri sema wanajitahidi kulinganisha na hizi kada za chini

Wanaolipa vizuri unawajua kweli wewe
 
Sasa kama kama local gvt hawana hiyo pesa unayosema laki4 kwanini unataka ulinganishe na perdiem hujui kwamba hizi hawa ni watu wawili tofauti

Kwanza acha kulinganisha local gvt na taasisi za kijeshi ni watu wawili tofauti kabisa kuanzia mishahara kila kitu hawafanani kwa hiyo hichi kitu acha utakuwa unachekesha sana
- muongozo wa perdiem ni flat rate except kwa mashirika ya umma the rest ni normal rates
-Kama mpaka Leo laki4 unaiona ni pesa ya maana basi kipato chako ni cha chini mno, wenzio wanachukua posho hadi 4m na ni Jr officers tu kwenye mashirika ya umma
 
Acha kuliweka Jeshi la Wananchi kuwa lipo miongoni mwa taasisi zinazolipa vizuri sema wanajitahidi kulinganisha na hizi kada za chini

Wanaolipa vizuri unawajua kweli wewe
- bakabaka wamo ni nyie Mambo ya ndani tu ndio mko chini
-ulizia mafao ya staff sgt wa Bakabaka kama yanalingana na staff sgt wa police utaoja gap
 
Acha kuliweka Jeshi la Wananchi kuwa lipo miongoni mwa taasisi zinazolipa vizuri sema wanajitahidi kulinganisha na hizi kada za chini

Wanaolipa vizuri unawajua kweli wewe
Ila polisi na walimu watabaki kuwa wafanyakazi wenye kipato kidogo sana hapa nchini.
Kidogo traffic tena kwenye majiji makubwa nao kunapesa bado inabidi wapeleke kwa wakubwa.
 
Back
Top Bottom